Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadau: Waandaaji KTMA hawakujipanga

BAADHI ya wadau wa muziki wa kizazi kipya nchini ambao walishuhudia utoaji wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Award (KTMA 2014), zilizofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, wamedai...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

MCHAKATO KTMA 2014: Wadau wauvunjia ukimya mfumo mpya wa upigaji kura

MCHAKATO wa kupata wateule na washiriki wa Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA) ungali umeshika kasi, huku wadau wa sanaa nchini wakiwa katika harakati chanya za kufanikisha wasanii, watayarishaji, bendi...

 

10 years ago

Michuzi

Mahojiano na waandaaji wa SWAHILI FESTIVAL Marekani

Patric Kajale. Mmoja wa waandaaji wa Tamasha hilo.
PHOTO CREDITS DMK Blog Karibu katika mahojiano kati ya Mubelwa Bandio na waandaaji wa SWAHILI FESTIVAL iliyofanyika Sept 21 jijini Bladensburg, jimbo la Maryland nchini Marekani Karibu.

 

10 years ago

Mwananchi

Waandaaji warudi kwenye misingi, wajitathimi

Kufuatia kuandikwa rasmi kwa sera ya Taifa ya Utamaduni na iliyokuwa Wizara ya Elimu na Utamaduni chini ya Waziri Prosesa Juma Kapuya mnamo mwaka 1997, kumekuwa na ongezeko kubwa la wadau wa Sanaa na burudani wakitaka kujihusisha na matukio au shughuli mbalimbali katika sekta hii.

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Awapa Makavu Waandaaji Hawa wa Filamu

Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally amewatupia dongo baadahi ya waandaaji wa filamu ambao huwa wababaishaji kwenye kuwalipa wasanii mara baada ya kumaliza kazi, akijitolea mfano wa yeye kufanyima hivyo mara kadhaa kitendo ambacho anasema kinawarudisha sana nyuma wasanii.

Riyama ametobao hilo mtandao mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu akiwa mzigoni na kuandika haya.

“Kazini najichekesha tu ila nimechoka hoi wallah Dah........ HATARIIIIII

Halafu unamalizia kushuti prodiucer ana...

 

9 years ago

Michuzi

RC KILIMANJARO AWASIFU WAANDAAJI WA BONANZA LA MADESHO DAY

Timu ya Ushrika wakijandaa kuvuta kamba katika bonanza la kumbukumbu ya Mwenyekiti wa kwanza wa klabu ya Moshi veterani Marehemu Madesho Moye.  Kikosi cha wachezaji wa timu ya Kitambi noma.  Wachezaji wa timu ya Moshi eterani wakiongozwa na nahodha wao mpya aliyesajiliwa katika kipindi hiki cha dirisha dogo,Amosi Makala ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro wakinyoosha kabla ya kuanza mpambano.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Waandaaji Miss Tanzania wajitathmini upya

>Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Lino International Agency Ltd, Hashim Lundenga juzi alikutana na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kuthibitisha kupokea barua ya Sitti Mtemvu ya kujivua taji la Miss Tanzania 2014.

 

11 years ago

GPL

WAANDAAJI WA SHINDANO LA MISS TANZANIA 2014 WAPIGWA MSASA

Baadhi ya mawakala wa shindano la Redds Miss Tanzania 2014 wakiwa  katika semina ya siku mbili juu ya namna ya ufanyanyaji wa mashindano hayo mwaka huu jijini Dar es Salaam jana. Shindano la Miss Tanzania linadhaminiwa na Kinywaji cha Redd's Original.…

 

11 years ago

Michuzi

Redd's Original yawapiga msasa waandaaji wa shindano la Miss Tanzania 2014

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency ambao ndio waandaaji wa shindano la Redds Miss Tanzania, Hashim Lundenga akizungumza na mawakala wa shindano hilo Dar es Salaam jana katika semina ya seku mbili. Katikati ni Redd's Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa na Mshindi wa pili, Latifa Mohamed. Shindano la Miss Tanzania linadhaminiwa na Kinywaji cha Redd's Original.    Baadhi ya mawakala wa shindano la Redds Miss Tanzania 2014 wakiwa  katika semina ya siku mbili juu ya namna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani