Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta: Maaskofu ni Ukawa

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta sasa ‘ametangaza rasmi vita’ dhidi ya viongozi wa dini kwa kusisitiza kuwa hayuko tayari kuwaheshimu wala kuwavumilia ambao wanatoa nyaraka alizodai kuwa hazina utukufu wa Mwenyezi Mungu kwa waumini wao.

Sitta alitoa kauli hiyo jana asubuhi bungeni wakati akisoma matangazo mbalimbali na kuamua kusoma waraka aliodai kuwa umetolewa na viongozi hao wa dini huku akiuhusisha na siasa za kundi la wajumbe waliosusia Bunge Maalum la Katiba kutoka...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sitta ateua masheikh, maaskofu kuwarejesha Ukawa bungeni

>Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza mkakati mpya wa kunusuru mchakato wa Katiba Mpya kwa kuitisha kikao cha wajumbe 27 wa Kamati ya Mashauriano ili kuondoa mpasuko kati ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wajumbe wengine.

 

11 years ago

CloudsFM

Sitta ateua masheikh, maaskofu kuwarejesha Ukawa bungeni

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza mkakati mpya wa kunusuru mchakato wa Katiba Mpya kwa kuitisha kikao cha wajumbe 27 wa Kamati ya Mashauriano ili kuondoa mpasuko kati ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wajumbe wengine.

Katika wajumbe hao wamo maaskofu wawili na masheikh wawili ambao Sitta amewateua kutoka katika Bunge la Katiba.

Sitta ameitisha kikao hicho jijini Dar es Salaam Julai 24 wakati kukiwa na matamko tofauti kuhusu mustakabali wa katiba...

 

10 years ago

Habarileo

Maaskofu wamkera Sitta

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesema ataendelea kudharau baadhi ya maaskofu, kama wataendelea kutoa maagizo ya kisiasa. Akizungumza bungeni kuhusu jitihada zilizofanyika ndani na nje ya Bunge Maalumu la Katiba, ili Katiba Inayopendekezwa isipatikane, Sitta alisema ni pamoja na baadhi ya maaskofu kuandaa waraka wa kupinga bunge hilo na kulazimisha usomwe makanisani.

 

10 years ago

Mtanzania

…Ukimya matokeo ya kura, Sitta alia na maaskofu

NA MAREGESI PAUL, DODOMA

KUCHELEWESHWA kutangazwa kwa matokeo ya kura za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, kumezua maswali mengi.

Msingi wa maswali hayo unatokana na uchache wa wajumbe wa Bunge hilo, kulinganisha na kura za madiwani ama wabunge ambazo zikipigwa matokeo yake huanza kutoka siku hiyohiyo.

Bunge Maalumu la Katiba lina wajumbe 629, kati yao 419 ni kutoka Tanzania Bara na 210 upande wa Zanzibar.

Katika kura zilizopigwa juzi, sehemu kubwa ya wajumbe walipiga kura za wazi huku...

 

11 years ago

Mwananchi

IBADA MAALUM: Maaskofu wawataka Ukawa kurejea bungeni

>Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), limewataka wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurudi bungeni bila masharti na kuendelea na mjadala wa Katiba kwa manufaa ya taifa.

 

9 years ago

Mtanzania

Yametimia *Dk. Slaa awashambulia Ukawa, *Asema maaskofu Katoliki wamehongwa, Walutheri wana udini

IMG_5657NA FREDY AZZAH, DAR ES SALAAM

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, ametangaza kuachana na siasa huku akiwatuhumu viongozi wa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kuwa wamehongwa na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Dk. Slaa aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye Hoteli ya Serena, zikiwa zimepita siku 36 tangu aliposusia...

 

11 years ago

TheCitizen

CA to continue without Ukawa, says Sitta team

>The Constituent Assembly (CA) will reopen as scheduled and resume business even if the Coalition of Defenders of People’s Constitution (Ukawa) members will insist on not returning to the august House, it was decided during a reconciliation meeting yesterday.

 

10 years ago

Habarileo

Sitta apuuza maoni ya Ukawa

Mwenyekiti wa Chama cha Wafugaji nchini, Huruma Ole Kalaita (kulia) akiwa na ujumbe wa wanachama 44 wa chama hicho mbele ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta (katikati) walipomtembelea bungeni Dodoma jana kutoa maoni yao ya uboreshaji wa mapendekezo ya Katiba. Kushoto ni mlezi wa chama hicho, John Shibuda. (Na Mpigapicha Wetu).MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amepuuza maoni ya viongozi wa wajumbe wa Bunge hilo wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutaka Bunge hilo lisitishwe.

 

11 years ago

Habarileo

Sitta- Ukawa waje tuzungumze

WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wanaotoka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), waliotoka bungeni juzi jioni wamepanga kufanya mkutano wa hadhara Zanzibar kesho, kwa kile walichodai ni kuwaeleza wananchi ukweli wa mambo yanayojiri katika Bunge linaloendelea hivi sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani