CA to continue without Ukawa, says Sitta team
>The Constituent Assembly (CA) will reopen as scheduled and resume business even if the Coalition of Defenders of People’s Constitution (Ukawa) members will insist on not returning to the august House, it was decided during a reconciliation meeting yesterday.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen25 Jul
Katiba Assembly 'to go on without Ukawa,' says Sitta team after Mbowe, Lipumba skip 'peace talks'
10 years ago
IPPmedia11 Jun
CEO Roundtable to continue debate with UKAWA
IPPmedia
The CEO Roundtable (CEOrt) of Tanzania is proceeding to arrange for the next public presidential debates, this time for opposition coalition UKAWA. Expressing disappointment over the no show of CCM Presidential aspirants at what would have been the ...
11 years ago
TheCitizen05 Apr
Sitta gives in to opposition pressure on forming team
11 years ago
TheCitizen16 Jul
Sitta names members of consultation team
11 years ago
Vijimambo02 Oct
Sitta: Maaskofu ni Ukawa

Sitta alitoa kauli hiyo jana asubuhi bungeni wakati akisoma matangazo mbalimbali na kuamua kusoma waraka aliodai kuwa umetolewa na viongozi hao wa dini huku akiuhusisha na siasa za kundi la wajumbe waliosusia Bunge Maalum la Katiba kutoka...
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Ukawa wamgomea Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
WAJUMBE wa Kamati ya Mashauriano ya Bunge Maalumu la Katiba wamekutana jana kwa ajili ya kujadili hatima ya Bunge hilo linalotarajiwa kukutana Agosti 5, mwaka huu.
Kamati hiyo imekutana bila ya kuwepo kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao pia ni wajumbe wa kamati hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho,...
11 years ago
Mtanzania10 Sep
JK, Ukawa wamtia Sitta kitanzani
NA RACHEL MRISHO, DODOMA
UAMUZI uliofikiwa na viongozi wa vyama vya siasa na Rais Jakaya Kikwete umemweka katika wakati mgumu Mwenyeki wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kuahirisha au la vikao vya Bunge hilo.
Hii inafuatia Rais Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kukubaliana kusitisha Bunge la Katiba Oktoba 4 tofauti na ratiba ya Sitta ambayo inaonyesha vikao vitaendelea hadi Oktoba 31 atakapomkabidhi rais katiba iliyopendekezwa.
Vilevile kwa tafsiri ya uamuzi...
10 years ago
Vijimambo01 Sep
Uzinduzi Ukawa wamtikisa Sitta.

Waziri huyo ameibuka na baadhi ya hoja hizo akizitumia kama ahadi za Chama Cha mapinduzi (CCM) kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
Baadhi ya ahadi hizo zilishatolewa na Chama hicho, lakini hazijaanza kutekelezwa hadi sasa.
Akizungumza na...
11 years ago
Habarileo18 Apr
Sitta- Ukawa waje tuzungumze
WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wanaotoka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), waliotoka bungeni juzi jioni wamepanga kufanya mkutano wa hadhara Zanzibar kesho, kwa kile walichodai ni kuwaeleza wananchi ukweli wa mambo yanayojiri katika Bunge linaloendelea hivi sasa.