Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CA to continue without Ukawa, says Sitta team

>The Constituent Assembly (CA) will reopen as scheduled and resume business even if the Coalition of Defenders of People’s Constitution (Ukawa) members will insist on not returning to the august House, it was decided during a reconciliation meeting yesterday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Katiba Assembly 'to go on without Ukawa,' says Sitta team after Mbowe, Lipumba skip 'peace talks'

>The Constituent Assembly (CA) will reopen as scheduled and resume business even if the Coalition of Defenders of People’s Constitution (Ukawa) members will insist on not returning to the august House, it was decided during a reconciliation meeting yesterday.

 

10 years ago

IPPmedia

CEO Roundtable to continue debate with UKAWA


CEO Roundtable to continue debate with UKAWA
IPPmedia
The CEO Roundtable (CEOrt) of Tanzania is proceeding to arrange for the next public presidential debates, this time for opposition coalition UKAWA. Expressing disappointment over the no show of CCM Presidential aspirants at what would have been the ...

 

11 years ago

TheCitizen

Sitta gives in to opposition pressure on forming team

The chairman of the Constituent Assembly (CA), Mr Samuel Sitta, has bowed to the objection raised against his recent appointment of five members to join the Katiba Steering Committee.

 

11 years ago

TheCitizen

Sitta names members of consultation team

The chairman of the Constituent Assembly (CA), Mr Samuel Sitta, has formed a 30-member consultations committee, which, among other things, aims at ending the standoff facing the constitution writing process.

 

11 years ago

Vijimambo

Sitta: Maaskofu ni Ukawa

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta sasa ‘ametangaza rasmi vita’ dhidi ya viongozi wa dini kwa kusisitiza kuwa hayuko tayari kuwaheshimu wala kuwavumilia ambao wanatoa nyaraka alizodai kuwa hazina utukufu wa Mwenyezi Mungu kwa waumini wao.

Sitta alitoa kauli hiyo jana asubuhi bungeni wakati akisoma matangazo mbalimbali na kuamua kusoma waraka aliodai kuwa umetolewa na viongozi hao wa dini huku akiuhusisha na siasa za kundi la wajumbe waliosusia Bunge Maalum la Katiba kutoka...

 

11 years ago

Mtanzania

Ukawa wamgomea Samuel Sitta

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

WAJUMBE wa Kamati ya Mashauriano ya Bunge Maalumu la Katiba wamekutana jana kwa ajili ya kujadili hatima ya Bunge hilo linalotarajiwa kukutana Agosti 5, mwaka huu.

Kamati hiyo imekutana bila ya kuwepo kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao pia ni wajumbe wa kamati hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho,...

 

11 years ago

Mtanzania

JK, Ukawa wamtia Sitta kitanzani

Mtanzania 10092014NA RACHEL MRISHO, DODOMA

UAMUZI uliofikiwa na viongozi wa vyama vya siasa na Rais Jakaya Kikwete umemweka katika wakati mgumu Mwenyeki wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kuahirisha au la vikao vya Bunge hilo.

Hii inafuatia Rais Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kukubaliana kusitisha Bunge la Katiba Oktoba 4 tofauti na ratiba ya Sitta ambayo inaonyesha vikao vitaendelea hadi Oktoba 31 atakapomkabidhi rais katiba iliyopendekezwa.

Vilevile kwa tafsiri ya uamuzi...

 

10 years ago

Vijimambo

Uzinduzi Ukawa wamtikisa Sitta.

Hoja zilizotolewa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakati wa kuzindua kampeni za mgombea wake wa urais kupitia Chama cha Demokrasia (Chadema), Edward Lowassa Jumamosi iliyopita, zimemtisha na kumuibua Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta.

Waziri huyo ameibuka na baadhi ya hoja hizo akizitumia kama ahadi za Chama Cha mapinduzi (CCM) kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

Baadhi ya ahadi hizo zilishatolewa na Chama hicho, lakini hazijaanza kutekelezwa hadi sasa.

Akizungumza na...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta- Ukawa waje tuzungumze

WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wanaotoka Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), waliotoka bungeni juzi jioni wamepanga kufanya mkutano wa hadhara Zanzibar kesho, kwa kile walichodai ni kuwaeleza wananchi ukweli wa mambo yanayojiri katika Bunge linaloendelea hivi sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani