Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhaba wa mabao wamkera Maximo

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amelia na safu yake ya ushambuliaji kuwa inakosa nafasi nyingi za kufunga na kuahidi kulifanyia kazi tatizo hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Maaskofu wamkera Sitta

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesema ataendelea kudharau baadhi ya maaskofu, kama wataendelea kutoa maagizo ya kisiasa. Akizungumza bungeni kuhusu jitihada zilizofanyika ndani na nje ya Bunge Maalumu la Katiba, ili Katiba Inayopendekezwa isipatikane, Sitta alisema ni pamoja na baadhi ya maaskofu kuandaa waraka wa kupinga bunge hilo na kulazimisha usomwe makanisani.

 

11 years ago

GPL

MAWIFI WAMKERA CATHY

Stori: Gladness Mallya MSANII mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa anakerwa na tabia za mawifi kuwachukia wake za kaka zao bila sababu za msingi. Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ Akichonga na paparazi wetu, Cathy alisema mawifi wengi huwachukia na kuwawekea vinyongo wake wa kaka zao hata kama hawajawakosea, kitu ambacho kinamkera na anaamini siyo yeye peke...

 

10 years ago

Mtanzania

Mashabiki wamkera Ommy Dimpoz

ommyNA JUMA HEZRON, TSJ
MSANII wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anachukizwa na tabia ya mashabiki ambao wamekuwa wakifanya fujo kwenye shoo mbalimbali za wasanii.
Akizungumza na MTANZANIA leo, Ommy Dimpoz alisema kitendo hicho siyo cha kiungwana, mashabiki wamekuwa wakikosea na kuwavunjia heshima wasanii.
“Mashabiki wanatuogopesha, imekuwa kama jambo la kawaida kutufanyia vurugu na kusahau kuwa tunafanya shoo ili kuwapa burudani,” alisema Ommy Dimpoz.
Alisema mashabiki na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Boko Haram wamkera Mwinyi

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, amesema anasikitishwa na kitendo cha kundi la Boko Haram la nchini Nigeria kuendelea kuua watu wasio na hatia na kusingizia kuwa...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mlundikano wa kesi wamkera waziri


NA RACHEL KYALA
VITUO vinavyotoa msaada wa kisheria nchini vimetakiwa kupanua wigo wa huduma, ili kuzinusuru mahakama na tatizo la mlundikano wa kesi.

Huduma hizo ni pamoja na kutoa usuluhishi ili mashauri yaishie nje ya mahakama.
Alisema hivi sasa mahakama zimekuwa na mlundikano mkubwa wa kesi, ambazo nyingine zingewezwa na wataalam wa sheria katika vituo hivyo.
Mbali na usuluhishi, vilevile vimetakiwa kuwa na maofisa ustawi wa jamii watakaokuwa wanatoaushauri nasaha licha ya msaada wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Utitiri wa kodi nchini wamkera Kinana

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametaja utitiri wa kodi za Tanzania kama kikwazo cha wafanyabiashara kutofanikiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawekezaji Chalinze feki wamkera diwani

DIWANI wa Lugoba, Rehema Mwene, amelalamikia kitendo cha baadhi ya wawekezaji kuomba kuwekeza na kushindwa kutekeleza makubaliano ya maombi yao. Mwene alitoa kauli hiyo juzi kwenye mikutano ya kampeni ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Uuzaji damu wamkera Mama Salma Kikwete

Waganga na watumishi wa afya watakaouza damu kwa wagonjwa watachukuliwa hatua kali za kinidhamu, ikiwamo kufukuzwa kazi na mamlaka husika kwa vile ni kitendo kisichokubalika katika jamii.

 

11 years ago

Mwananchi

Usambazaji wa sukari Mbeya wamkera Waziri wa Kilimo

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi jana alikerwa baada ya kuziona tani 700 za sukari ya Tanzania zikiwa zimerundikana kwenye ghala jijini hapa kwa madai ya kukosa soko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani