Utitiri wa kodi nchini wamkera Kinana
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametaja utitiri wa kodi za Tanzania kama kikwazo cha wafanyabiashara kutofanikiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Walia na utitiri wa kodi nchini
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Utitiri wa kodi waikwaza TCCIA
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Salim Asas alia na utitiri wa kodi
![](http://3.bp.blogspot.com/-7ChM46M9FoY/Vhv3FPEzw6I/AAAAAAAAF68/8tqkdtM5mOU/s640/risala.jpg)
Mkurugenzi wa makampuni ya Asas, Salim Abri akisoma risala fupi kwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Titus Kamani hivi karibuni. (Picha na Friday Simbaya).
IRINGA: Mkurugenzi wa makampuni ya Asas, Salim Abri ameiomba serikali kuondoa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye mazao ya maziwa ambayo ni siagi, jibini, samli, cream na maziwa yenye ladha za matunda.
Salim alitoa kilio hicho mbele ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Titus Kamani alipotembea kiwanda cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BgFI9PrzVYw/XlUPyArYONI/AAAAAAALfRQ/ynG9GOYVJkU3aThGAb3lJg15CyP6V8IwQCLcBGAsYHQ/s72-c/N2-2.jpg)
CHANGAMOTO YA UMEME NA UTITIRI WA KODI VYALALAMIKIWA MKOA WA MARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BgFI9PrzVYw/XlUPyArYONI/AAAAAAALfRQ/ynG9GOYVJkU3aThGAb3lJg15CyP6V8IwQCLcBGAsYHQ/s640/N2-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/N4-2.jpg)
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Uzushi mitandao ya kijamiii nchini wamkera Edward Lowassa
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Utitiri wa maduka ya dawa tatizo nchini
9 years ago
Habarileo04 Dec
Magufuli awashukia walipa kodi nchini
RAIS John Magufuli ametangaza kiama kwa wafanyabiashara wote wenye tabia ya kukwepa kulipa kodi na kusisitiza kuwa kamwe Serikali yake ya Awamu ya Tano, haitovumilia kitendo hicho. Kutokana na hayo, Dk Magufuli ametoa siku saba kwa wafanyabiashara wote nchini waliokwepa kodi wakiwemo wale wa makontena takribani 349 yaliyopitishwa bandarini bila kulipa kodi, waende wakalipe kodi hiyo mara moja, vinginevyo sheria itafuata mkondo wake.
Aidha, amewatoa hofu wafanyabiashara wa sekta binafsi...
11 years ago
Mwananchi19 Mar
TRA Mbeya yakiri wingi wa kodi nchini