Salim Asas alia na utitiri wa kodi
Mkurugenzi wa makampuni ya Asas, Salim Abri akisoma risala fupi kwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Titus Kamani hivi karibuni. (Picha na Friday Simbaya).
IRINGA: Mkurugenzi wa makampuni ya Asas, Salim Abri ameiomba serikali kuondoa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye mazao ya maziwa ambayo ni siagi, jibini, samli, cream na maziwa yenye ladha za matunda.
Salim alitoa kilio hicho mbele ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Titus Kamani alipotembea kiwanda cha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMWIGULU AMSIMIKA SALIM ASAS KUWA KAMANDA WA VIJANA RINGA
MFANYABIASHARA maarufu mkoani Iringa Salim Abri Asas akisimikwa kuwa Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Iringa katika kipindi cha miaka mingine mitano na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara Mwigulu Nchemba katika sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa Mwembetogwa, mjini Iringa.
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Walia na utitiri wa kodi nchini
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Utitiri wa kodi waikwaza TCCIA
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Utitiri wa kodi nchini wamkera Kinana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BgFI9PrzVYw/XlUPyArYONI/AAAAAAALfRQ/ynG9GOYVJkU3aThGAb3lJg15CyP6V8IwQCLcBGAsYHQ/s72-c/N2-2.jpg)
CHANGAMOTO YA UMEME NA UTITIRI WA KODI VYALALAMIKIWA MKOA WA MARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BgFI9PrzVYw/XlUPyArYONI/AAAAAAALfRQ/ynG9GOYVJkU3aThGAb3lJg15CyP6V8IwQCLcBGAsYHQ/s640/N2-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/N4-2.jpg)
10 years ago
MichuziKAMPUNI ZA ASAS ZAONGOZA KWA ULIPAJI KODI BORA KWA MKOA WA IRINGA
KWA HABARI ZAIDI...
10 years ago
Habarileo21 Jan
Kamishna Mkuu TRA ‘alia’ na misamaha, ukwepaji kodi
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inaweza kukusanya kiasi cha Sh trilioni tano kwa mwaka kutoka kiasi cha Sh trilioni 3.9 za sasa kwa mwaka, endapo misamaha ya kodi na ukwepaji wa kodi utadhibitiwa.
11 years ago
MichuziDkt. Salim Ahmed Salim akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NSqX0Cic1jA/U89v1Uah6YI/AAAAAAAF5DQ/0ycfi9pWbq0/s72-c/unnamed+(10).jpg)
balozi mpya wa ujerumani nchini amtembelea Dkt Salim Ahmed Salim leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-NSqX0Cic1jA/U89v1Uah6YI/AAAAAAAF5DQ/0ycfi9pWbq0/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D8HtEWABE5w/U89vD8hPMgI/AAAAAAAF5DE/h8af4afFBQY/s1600/unnamed+(9).jpg)