Utitiri wa kodi waikwaza TCCIA
Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), mkoani Lindi kimeishauri Serikali kukabidhi kazi ya ukusanyaji kodi kwa mamlaka husika ili kupunguza mrundikano wa vyombo vinavyokusanya kodi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Walia na utitiri wa kodi nchini
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Salim Asas alia na utitiri wa kodi
![](http://3.bp.blogspot.com/-7ChM46M9FoY/Vhv3FPEzw6I/AAAAAAAAF68/8tqkdtM5mOU/s640/risala.jpg)
Mkurugenzi wa makampuni ya Asas, Salim Abri akisoma risala fupi kwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Titus Kamani hivi karibuni. (Picha na Friday Simbaya).
IRINGA: Mkurugenzi wa makampuni ya Asas, Salim Abri ameiomba serikali kuondoa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye mazao ya maziwa ambayo ni siagi, jibini, samli, cream na maziwa yenye ladha za matunda.
Salim alitoa kilio hicho mbele ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Titus Kamani alipotembea kiwanda cha...
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Utitiri wa kodi nchini wamkera Kinana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BgFI9PrzVYw/XlUPyArYONI/AAAAAAALfRQ/ynG9GOYVJkU3aThGAb3lJg15CyP6V8IwQCLcBGAsYHQ/s72-c/N2-2.jpg)
CHANGAMOTO YA UMEME NA UTITIRI WA KODI VYALALAMIKIWA MKOA WA MARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BgFI9PrzVYw/XlUPyArYONI/AAAAAAALfRQ/ynG9GOYVJkU3aThGAb3lJg15CyP6V8IwQCLcBGAsYHQ/s640/N2-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/N4-2.jpg)
10 years ago
Habarileo18 Jun
Usafirishaji wa reli waikwaza TPA
KUSHUKA kwa kiwango cha uondoshaji mizigo bandarini kwa njia ya reli kutoka asilimia 10 mwaka 2008 hadi kufikia asilimia moja hivi sasa, kumeathiri uwezo wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuweza kushindana kikamilifu na bandari za jirani.
11 years ago
Mwananchi23 Jul
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa kutoka kwa […]
The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...
10 years ago
Mwananchi10 Oct
TCCIA: Shirikini maonyesho ya biashara
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Dk Kigoda aiponda TCCIA Mbeya