TCCIA yatoa ushauri
Rachel Chibwete, Mwananchi
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Dec
TFF yatoa ushauri kwa viongozi Copa Coca Cola
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa ushauri kwa vyama vya soka vya mikoa kuwa makini katika uteuzi wa wachezaji wa kuwakilisha timu za mikoa yao kwenye mashindano ya vijana.
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATOA USHAURI KWA SERIKALI KUHUSU KUVILINDA VIWANDA VYA VIFAA VYA UMEME
Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.
Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.
Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...
10 years ago
Mwananchi22 Aug
TCCIA, wafanyabiashara watofautiana Mwanza
Mvutano mkali umeibuka kati ya Chemba ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mwanza (JMWM) kwenye kikao na Mkurugenzi wa jiji, Halfa Hida.
10 years ago
Mwananchi10 Oct
TCCIA: Shirikini maonyesho ya biashara
Wafanyabiashara wametakiwa kushiriki maonyesho ya kimataifa ya biashara yanayotarajiwa kufanyika mkoani hapa kati ya Oktoba 23 na 29, mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Utitiri wa kodi waikwaza TCCIA
Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), mkoani Lindi kimeishauri Serikali kukabidhi kazi ya ukusanyaji kodi kwa mamlaka husika ili kupunguza mrundikano wa vyombo vinavyokusanya kodi.
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Dk Kigoda aiponda TCCIA Mbeya
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda amesema Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mbeya, kimeshindwa kuandaa vizuri maonyesho ya kimataifa yaliyofunguliwa mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa.
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
TCCIA kukusanya maoni ada za leseni
CHAMA cha Wafanyabiashara, Wenye viwanda na Kilimo (TCCIA) kimezindua utaratibu wa kukusanya maoni ya wafanyabiashara kuhusiana na athari za urejeshwaji wa ada ya leseni za biashara. Akizungumza jijini Dar es...
9 years ago
TheCitizen14 Dec
TCCIA investment’s capital up 57 per cent in one year
The capital for TCCIA Investment Limited has grown by 57 per cent in one year, thanks to professional approach in deciding on the right avenues of injecting its money.
11 years ago
Mwananchi18 Feb
TCCIA sasa kuanzisha Benki ya Maendeleo
Chama cha Wafanyabiashara, Kilimo na Viwanda (TCCIA) Mkoa wa Rukwa, kimeanza mchakato wa uanzishaji benki itakayo wawezesha wanachama wake kuweza kupata mikopo yenye riba nafuu kupitia benki hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania