Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCCIA yatoa ushauri

Rachel Chibwete, Mwananchi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TFF yatoa ushauri kwa viongozi Copa Coca Cola

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa ushauri kwa vyama vya soka vya mikoa kuwa makini katika uteuzi wa wachezaji wa kuwakilisha timu za mikoa yao kwenye mashindano ya vijana.

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATOA USHAURI KWA SERIKALI KUHUSU KUVILINDA VIWANDA VYA VIFAA VYA UMEME

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.

Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...

 

10 years ago

Mwananchi

TCCIA, wafanyabiashara watofautiana Mwanza

Mvutano mkali umeibuka kati ya Chemba ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mwanza (JMWM) kwenye kikao na Mkurugenzi wa jiji, Halfa Hida.

 

10 years ago

Mwananchi

TCCIA: Shirikini maonyesho ya biashara

Wafanyabiashara wametakiwa kushiriki maonyesho ya kimataifa ya biashara yanayotarajiwa kufanyika mkoani hapa kati ya Oktoba 23 na 29, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Utitiri wa kodi waikwaza TCCIA

Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), mkoani Lindi kimeishauri Serikali kukabidhi kazi ya ukusanyaji kodi kwa mamlaka husika ili kupunguza mrundikano wa vyombo vinavyokusanya kodi.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kigoda aiponda TCCIA Mbeya

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda amesema Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mbeya, kimeshindwa kuandaa vizuri maonyesho ya kimataifa yaliyofunguliwa mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCCIA kukusanya maoni ada za leseni

CHAMA cha Wafanyabiashara, Wenye viwanda na Kilimo (TCCIA) kimezindua utaratibu wa kukusanya maoni ya wafanyabiashara kuhusiana na athari za urejeshwaji wa ada ya leseni za biashara. Akizungumza jijini Dar es...

 

9 years ago

TheCitizen

TCCIA investment’s capital up 57 per cent in one year

The capital for TCCIA Investment Limited has grown by 57 per cent in one year, thanks to professional approach in deciding on the right avenues of injecting its money.

 

11 years ago

Mwananchi

TCCIA sasa kuanzisha Benki ya Maendeleo

Chama cha Wafanyabiashara, Kilimo na Viwanda (TCCIA) Mkoa wa Rukwa, kimeanza mchakato wa uanzishaji benki itakayo wawezesha wanachama wake kuweza kupata mikopo yenye riba nafuu kupitia benki hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani