Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Kigoda aiponda TCCIA Mbeya

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda amesema Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mbeya, kimeshindwa kuandaa vizuri maonyesho ya kimataifa yaliyofunguliwa mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Stewart aiponda Azam FC

Wakati aliyekuwa kocha mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akishangazwa na kiwango kidogo cha timu hiyo katika mchezo wao wa juzi wa Ngao ya Hisani, kiungo wa Taifa Stars, Frank Domayo amekiri kuzidiwa uwezo na Yanga.

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm aiponda BDF

yanga vs BDF IXNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amekasirishwa na mfumo wa kujilinda uliotumiwa na BDF XI kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Licha ya BDF kucheza kwa staili hiyo, Yanga ilifanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Amissi Tambwe.
Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Pluijm alisema timu yake ilipata shida sana kucheza nyuma ya mabeki watano wa BDF na kupelekea kutumia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond aiponda Basata

BAADA ya wasani wanaowania tuzo za Kilimanjaro Music Awards kuwekwa hadharani, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond’ ameibuka na kusema Baraza la Sanaa la Taifa (Basata),...

 

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti Yanga aiponda Simba

MWENYEKITI wa Matawi ya Yanga Visiwani Zanzibar Said Ali Manzi amesema kuwa viwango wanavyoonesha wachezaji wa Simba ni vibovu tofauti na walivyotarajia.

 

11 years ago

Mwananchi

JK aiponda ripoti ya mafuriko Dumila

Rais Jakaya Kikwete ameikataa taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera kuhusu waathirika wa mafuriko na waliokosa makazi na kumpa siku moja kukaa na timu yake kuandaa nyingine inayoendana na hali halisi ya janga hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Loga aiponda ziara ya Yanga

Baada ya Yanga kwenda kuweka kambi Uturuki, Kocha wa Simba, Zradvok Logarusic ameibeza safari hiyo na kuhahidi kuendeleza kutoa kipigo kwa mabingwa hao.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkapa aiponda misaada kutoka nje

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin William Mkapa amesema misaada inayotolewa na nchi za Magharibi kwa nchi za Afrika haina masilahi na ina lengo la kudhoofisha ukuaji wa uchumi wa nchi za Afrika .

 

9 years ago

Mwananchi

Blatter aiponda kamati ya maadili Fifa kumjadili

Wakati kamati ya maadili ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) ikianza kumjadili, rais wa shirikisho hilo, Sepp Blatter ameiponda.

 

11 years ago

Mwananchi

TCCIA yatoa ushauri

Rachel Chibwete, Mwananchi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani