Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stewart aiponda Azam FC

Wakati aliyekuwa kocha mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akishangazwa na kiwango kidogo cha timu hiyo katika mchezo wao wa juzi wa Ngao ya Hisani, kiungo wa Taifa Stars, Frank Domayo amekiri kuzidiwa uwezo na Yanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Stewart agundua dosari Azam

Stewart-HallNA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall raia wa Uingereza, amegundua dosari ndani ya kikosi chake huku akieleza kuwa hajaridhishwa na ubora wa nyota wake kutokana na uwezo walioonyesha katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons.

Azam ambao wameanza mkakati wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kushindwa kuutetea msimu uliopita, juzi waliwakaribisha Prisons kwenye Uwanja wa Azam, Complex na kufanikiwa kuibuka...

 

10 years ago

GPL

Azam yamalizana na Stewart, atua na mpishi wake

Kocha mpya wa Azam, Muingereza Stewart Hall. Na Hans Mloli, Dar es Salaam
AZAM FC inatarajia kuingia mkataba na kocha wake mpya, Muingereza, Stewart Hall leo lakini kingine kipya ni kwamba kocha huyo atatua na mpishi wake maalum wa timu pamoja na benchi zima la ufundi kutoka nchini Uingereza. Taarifa zilizolifikia Championi Jumatatu kutoka kwa mmoja wa mabosi wa juu wa Azam, zimeeleza kuwa Stewart ameamua kufanya hivyo kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond aiponda Basata

BAADA ya wasani wanaowania tuzo za Kilimanjaro Music Awards kuwekwa hadharani, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond’ ameibuka na kusema Baraza la Sanaa la Taifa (Basata),...

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm aiponda BDF

yanga vs BDF IXNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amekasirishwa na mfumo wa kujilinda uliotumiwa na BDF XI kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Licha ya BDF kucheza kwa staili hiyo, Yanga ilifanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Amissi Tambwe.
Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Pluijm alisema timu yake ilipata shida sana kucheza nyuma ya mabeki watano wa BDF na kupelekea kutumia...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kigoda aiponda TCCIA Mbeya

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda amesema Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mbeya, kimeshindwa kuandaa vizuri maonyesho ya kimataifa yaliyofunguliwa mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa.

 

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti Yanga aiponda Simba

MWENYEKITI wa Matawi ya Yanga Visiwani Zanzibar Said Ali Manzi amesema kuwa viwango wanavyoonesha wachezaji wa Simba ni vibovu tofauti na walivyotarajia.

 

11 years ago

Mwananchi

JK aiponda ripoti ya mafuriko Dumila

Rais Jakaya Kikwete ameikataa taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera kuhusu waathirika wa mafuriko na waliokosa makazi na kumpa siku moja kukaa na timu yake kuandaa nyingine inayoendana na hali halisi ya janga hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Loga aiponda ziara ya Yanga

Baada ya Yanga kwenda kuweka kambi Uturuki, Kocha wa Simba, Zradvok Logarusic ameibeza safari hiyo na kuhahidi kuendeleza kutoa kipigo kwa mabingwa hao.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkapa aiponda misaada kutoka nje

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin William Mkapa amesema misaada inayotolewa na nchi za Magharibi kwa nchi za Afrika haina masilahi na ina lengo la kudhoofisha ukuaji wa uchumi wa nchi za Afrika .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani