Stewart aiponda Azam FC
Wakati aliyekuwa kocha mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akishangazwa na kiwango kidogo cha timu hiyo katika mchezo wao wa juzi wa Ngao ya Hisani, kiungo wa Taifa Stars, Frank Domayo amekiri kuzidiwa uwezo na Yanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Stewart agundua dosari Azam
NA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall raia wa Uingereza, amegundua dosari ndani ya kikosi chake huku akieleza kuwa hajaridhishwa na ubora wa nyota wake kutokana na uwezo walioonyesha katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons.
Azam ambao wameanza mkakati wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kushindwa kuutetea msimu uliopita, juzi waliwakaribisha Prisons kwenye Uwanja wa Azam, Complex na kufanikiwa kuibuka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iVn57JuI46d47ZC53qi7by8gLk7ujCRCip0ViGS9xTO4iAlctWYzqbRoTYp3z57lJjRfLOLAKzvSnMc*OMypIed/jjjj.jpg)
Azam yamalizana na Stewart, atua na mpishi wake
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Diamond aiponda Basata
BAADA ya wasani wanaowania tuzo za Kilimanjaro Music Awards kuwekwa hadharani, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond’ ameibuka na kusema Baraza la Sanaa la Taifa (Basata),...
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Pluijm aiponda BDF
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amekasirishwa na mfumo wa kujilinda uliotumiwa na BDF XI kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Licha ya BDF kucheza kwa staili hiyo, Yanga ilifanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Amissi Tambwe.
Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Pluijm alisema timu yake ilipata shida sana kucheza nyuma ya mabeki watano wa BDF na kupelekea kutumia...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Dk Kigoda aiponda TCCIA Mbeya
10 years ago
Habarileo01 Aug
Mwenyekiti Yanga aiponda Simba
MWENYEKITI wa Matawi ya Yanga Visiwani Zanzibar Said Ali Manzi amesema kuwa viwango wanavyoonesha wachezaji wa Simba ni vibovu tofauti na walivyotarajia.
11 years ago
Mwananchi28 Jan
JK aiponda ripoti ya mafuriko Dumila
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Kocha Loga aiponda ziara ya Yanga
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Mkapa aiponda misaada kutoka nje