Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Loga aiponda ziara ya Yanga

Baada ya Yanga kwenda kuweka kambi Uturuki, Kocha wa Simba, Zradvok Logarusic ameibeza safari hiyo na kuhahidi kuendeleza kutoa kipigo kwa mabingwa hao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti Yanga aiponda Simba

MWENYEKITI wa Matawi ya Yanga Visiwani Zanzibar Said Ali Manzi amesema kuwa viwango wanavyoonesha wachezaji wa Simba ni vibovu tofauti na walivyotarajia.

 

11 years ago

GPL

KOCHA WA SIMBA LOGA ATINGA GLOBAL

Kocha Mkuu wa Simba, Mcroatia Zdravko Logarusic akisalimiana na Mhariri wa Gazeti la Championi Ijumaa, John Joseph (anayetazamana na kocha huyo) sambamba na Mhariri Kiongozi wa magazeti ya Championi, Saleh Ally aliyevaa sweta la kijani. Loga akielekezwa jambo namna gazeti linavyotengenezwa awali kwenye ofisi za Global na Msanifu Kurasa wa… ...

 

11 years ago

GPL

Kocha Loga aacha timu, ajifua mwenyewe

Na Martha Mboma
KATIKA hali ya kufurahisha na ambayo haijazoeleka hapa nchini, juzi kocha wa Simba aliacha kuwafundisha wachezaji wake na kufanya mazoezi mwenyewe. Mazoezi ya Simba ambayo yalikuwa yanafanyika kwenye Uwanja wa Kinesi jijini Dar es Salaam, yalisimamiwa na kocha msaidizi, Selemani Matola, huku Loga akifanya yake mwenyewe pembeni mwa uwanja. Championi lilishuhudia tukio hilo wakati timu hiyo ikiwa katika mazoezi...

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

11 years ago

GPL

Loga akesha, kisa Yanga SC

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Hans Mloli
POINTI tatu katika mechi nne za mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara, zimemfanya Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, akose usingizi. Logarusic, raia wa Croatia, maarufu kama Loga, amesema kati ya pointi hizo 12, tatu ni zile dhidi ya Yanga na amekuwa akipiga hesabu atazipata vipi kwa kuwa wakikutana anatambua ‘patachimbika’. Akizungumza na Championi Jumatano,...

 

11 years ago

Mwananchi

Loga: Ni Azam, Yanga, City

>Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic ‘Loga’ amesema tiketi ya timu yake kufuzu kucheza michuano ya kimataifa ipo mikononi mwa Azam FC, Yanga na Mbeya City.

 

11 years ago

GPL

Loga amgawia jezi ya Simba, mchungaji Yanga

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic.
Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa Simba, Zadravko Logarusic ametoa zawadi ya jezi ya Simba kwa mchungaji wa kanisa la Katoliki ambaye ni shabiki wa Yanga na akaipokea bila ya matatizo.

Logarusic maarufu kama Loga amewasilisha zawadi hiyo siku tatu zilizopita katika mji aliozaliwa wa Slavonski Brod ambao mchungaji, Josephat Mosha amekuwa akifanya kazi kwa miaka nane sasa.

Mosha raia wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani