Loga akesha, kisa Yanga SC

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Hans Mloli POINTI tatu katika mechi nne za mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara, zimemfanya Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, akose usingizi. Logarusic, raia wa Croatia, maarufu kama Loga, amesema kati ya pointi hizo 12, tatu ni zile dhidi ya Yanga na amekuwa akipiga hesabu atazipata vipi kwa kuwa wakikutana anatambua ‘patachimbika’. Akizungumza na Championi Jumatano,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Loga: Ni Azam, Yanga, City
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Kocha Loga aiponda ziara ya Yanga
11 years ago
GPL
Loga amgawia jezi ya Simba, mchungaji Yanga
10 years ago
CloudsFM11 Mar
Chopa afunguka alivyotaka ‘kujiua’ kisa Yanga.
Mkali wa filamu za Kibongo, Chopa Mchopanga amefunguka picha yake iliyosambaa kwenye mitandao mwishoni mwa wiki hii ikimuonyesha akiwa ameshika chupa ya bia na dawa,huku baadhi ya watu wakisema kuwa msanii huyo alitaka kujiua baada ya timu yake ya Yanga kufungwa na Simba.
Akizungumza na Clouds alisema kuwa amekuwa akipigiwa simu nyingi kuhusiana na picha ile lakini ukweli ni kwamba picha ile ina mahusiano na timu hiyo(Yanga) ingawa haihusiani na mechi iliyochezwa Jumapili iliyopita katika...
11 years ago
GPL
Yanga yatangaza waliopigwa chini, kisa Marcio Maximo
10 years ago
GPL
LOWASSA AKESHA AKILIA