Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LOWASSA AKESHA AKILIA

Stori:  Mwandishi wetu
SIKU za masikitiko bado zinaendelea kwa waziri mkuu aliyejizulu, Edward Lowassa baada ya kuwepo kwa taarifa za kukesha akilia, kisa kikitajwa kuwa ni mwendelezo ya maombolezo ya kifo cha Mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM), Kapteni John  Komba.Kapteni Komba alifariki dunia Februari 28, mwaka huu jijini Dar na kuzikwa kijijini kwao, Lituhi mkoani Ruvuma, Machi 3. Waziri mkuu aliyejizulu, Edward Lowassa....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHUHUDIA AMANI AKILIA JUKWAANI NA MKEWE SIKU YA SHEREHE ZA THT

Amini Akilia jukwaani na MkeweJana Jumba la Vipaji Tanzania THT walisherehekea Miaka Kumi toka Kuanzishwa Kwake Pale Escape 1, Mambo yalikuwa matamu sana kwani wasanii wote walio.....pitia katika Jumba Hilo la Vipaji walitoa Burudani safi kabisa ya live na kufanikiwa kuwagonga nyoyo mashabiki waliofurika kushuhudia Tukio Hilo...Mpiga picha waUdaku Specially Eli Ulomi Aliweza Kupata Matukio Mbali Mbali Likiwemo la Amini na Mkewe Kulia Kwa Furaha Jukwaani , Amini na Mkewe wote ni zao la THT ,...

 

11 years ago

GPL

Loga akesha, kisa Yanga SC

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Hans Mloli
POINTI tatu katika mechi nne za mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara, zimemfanya Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, akose usingizi. Logarusic, raia wa Croatia, maarufu kama Loga, amesema kati ya pointi hizo 12, tatu ni zile dhidi ya Yanga na amekuwa akipiga hesabu atazipata vipi kwa kuwa wakikutana anatambua ‘patachimbika’. Akizungumza na Championi Jumatano,...

 

11 years ago

GPL

MTITU AKESHA AKIMUOMBEA BABA YAKE

MSANII wa filamu za Kibongo, William Mtitu ameelza kuwa, anakesha na kuomba ili Mungu amuwezeshe kumponya baba yake mzazi, Mzee John Mtitu ambaye yuko hoi hospitali kutokana na kuugua kwa muda mrefu. Mzee John Mtitu akiwa hospitali. Akizungumza kwa huzuni Mtitu alisema ni muda mrefu umepita tangu baba yake aanze kuugua na  kulazwa Taasisi ya Mifupa Moi akisumbuliwa na uvimbe kichwani hali iliyomsababishia afanyiwe...

 

10 years ago

GPL

BABA MZAZI AKESHA AKIBAKA WANAYE!

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha
USHETANI! Watoto wa kike wawili wenye umri wa miaka 8 na 14, wakazi wa Unga Limited jijini hapa, wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa Mount Meru baada ya kuharibiwa vibaya sehemu zao za siri kwa madai ya kulawitiwa na kubakwa na baba yao mzazi waliyemtaja kwa jina moja la Ezekiel, Uwazi linakupa zaidi. Watoto wanaodaiwa kubakwa na baba yao. Akizungumza na gazeti hili kwa tabu hospitalini hapo,...

 

10 years ago

GPL

URAIS 2015: NYALANDU AKESHA AKICHEZA SEBENE!

Stori:Mwandishi wetu, Kibaha
WAZIRI wa Mali Asili na Utalii, Lazaro Nyalandu ambaye ametangaza nia ya kuwania urais wa nchi amefanya kufuru kubwa katika Kanisa la Efatha linaloongozwa na Nabii Josephat Mwingira, mjini Kibaha, Pwani baada ya kusakata sebene la Injili usiku wa manane. Waziri wa Mali Asili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiselebuka. Nyalandu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini (CCM), alifanya hayo...

 

10 years ago

Vijimambo

Baba Mzazi Akesha akiwabaka wanawe wawili wadogo.


Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, SACP Leberatus Sabas.KUBAKWA KUNAENDELEA!!Binti huyo alitoa ya moyoni kuhusu kisa chake hicho cha kubakwa na kulawitia kwa kusema:“Sijui ni nini?! Siku nyingine nikiwa na mdogo wangu tunayesoma naye shule, tuliitwa na babu mmoja anaitwa Elias. Tulikwenda hadi nyumbani kwake.“Tulipofika, babu alitupa chipsi na kula. Halafu alimwambia mwenzangu atoke nje na kuanza kunibaka mimi. Alipomaliza, alimuita mwenzangu, naye akambaka. Alikuwa akitupatia chipsi kisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani