Ray C akilia kwa uchungu baada ya kunyimwa Methadone
![](http://img.youtube.com/vi/iJoIPUvZTuo/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Jun
Kilio cha Ray C chazusha mjadala kama kweli Methadone ni tiba inayomfaa!
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Amchinja mke baada ya kunyimwa unyumba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-LOT0JdwXunAUPZhorS29YOJeEs01iGJvP61*LRAN*O2kRSqAteVehLA4qvS8wH9r--inhQc*g-rd61Lm9A83n/HAWARA.jpg)
AHARIBU MALI ZA HAWARA BAADA YA KUNYIMWA UNYUMBA
10 years ago
Bongo Movies23 May
Neno la Shukrani Kutoka kwa Ray Baada ya Kuwa “Muongozaji Wa Filamu Anayependwa”
Nawashukuru Sana Watanzania Wote Kwa Kuniwezesha Kuwa Director Bora Mwaka 2015 En 2016. Pia Napenda Kuwapongeza Waandaji Wa (TUZO ZA WATU) Nyinyi Ni Mfano Wa Kuigwa Kwenye Hizi Tuzo Si Kwa Sababu Nimepata Noo Ila Nasema Ukweli Toka Moyoni Mwangu Usiku Wa Jana Mmefanya Kitu Kikubwa Sana Hongereni. Pia Nilikuwa Najua Kuwa Wadau Msingeweza Kuniangusha Kwa Kuwa Mnajua Nilipo Itoa Tasnia Mungu Awabariki Sana.
By: Vicent Kigosi ‘Ray’ on Instagram
11 years ago
Habarileo18 Feb
Achinja mke kwa kunyimwa unyumba
MTU mmoja mkazi wa wilayani Nzega mkoani Tabora, Juma Kiyabo (45) amempiga kisha kumchinja shingo mkewe, Wande Monera (34) na yeye kujaribu kujiua kwa kujikata koromeo lake.
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Watishia kutopiga kura kwa kunyimwa ardhi
BAADHI ya wakazi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, mkoani Pwani, wamesema hawatashiriki kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni endapo jirani zao wa Mtaa wa Vingunguti...
11 years ago
Habarileo09 Mar
Mwanamke adai kunyimwa urithi kwa kuishi na VVU
MWANAMKE mmoja mkazi wa Kimandolu jijini Arusha, Suzy Mrema (40) anayeishi na virusi vya Ukimwi amedai kutengwa na ndugu zake, ikiwa ni pamoja na kunyimwa urithi wa mali za marehemu baba yao kwa madai ya kuwa yeye ni marehemu mtarajiwa.
5 years ago
MichuziSERIKALI KUANZISHA KLINIKI SHIKIZI NNE ZA KUTOLEA HUDUMA ZA METHADONE KWA WAATHIRIKA WA MADAWA YA KULEVYA
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto iko mbioni kuanzisha huduma shikizi za tiba ya methadone kwa waathirika wa madawa ya kulevya ya Heroine.
Hayo yamesemwa na Dkt. Erasmus Mndeme Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Rufaa ya Kitaifa ya Magonjwa ya Akili - Milembe alipokuwa akiwasilisha taarifa ya huduma za tiba kwa waathirika wa madawa ya kulevya kupitia dawa ya methadone na utekelezaji wa majukumu ya Kituo cha kuhudumia...