Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AHARIBU MALI ZA HAWARA BAADA YA KUNYIMWA UNYUMBA

Stori: Makongoro Oging’
MAKUBWA! RB nambari TBT/RB/3478/2014  ya Kituo cha Polisi Tabata, jijini Dar es Salaam ina kesi ya dereva taksi aliyepatikana kwa jina moja la Lindoya akidaiwa kuharibu mali za Asia Hakika kwa sababu eti alinyimwa unyumba, Uwazi linakuhabarisha. Asia Hakika anayedai kuharibiwa mali zake na dereva taksi aitwaye Lindoya.
Mlalamikaji Asia, mkazi wa Tabata – Chama na mtuhumiwa Lindoya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Amchinja mke baada ya kunyimwa unyumba

Mkazi wa mmoja wa Nzega, mkoani Tabora, Juma Kiyabo (45) amemchija mke wake, Wande Monera (34), kabla ya mwenyewe kunusurika kifo baada ya kujijeruhi vibaya shingoni katika jaribio la kutaka kujiua.

 

11 years ago

Habarileo

Achinja mke kwa kunyimwa unyumba

MTU mmoja mkazi wa wilayani Nzega mkoani Tabora, Juma Kiyabo (45) amempiga kisha kumchinja shingo mkewe, Wande Monera (34) na yeye kujaribu kujiua kwa kujikata koromeo lake.

 

11 years ago

GPL

MALI ZA BILIONEA ZAZUA TAFRANI BAADA YA KUFARIKI DUNIA

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
DUNIA haina huruma! Siku mbili baada ya kumzika mumewe ambaye alikuwa bilionea maarufu Dar, Amir Tabu, mjane wake, Mwanahamis Rajab ameingia kwenye tafrani kubwa na mashemeji zake kisa, mali za marehemu huku akitimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi na mumewe. Mjane, Mwanahamis Rajab alipokuwa na mume wake wakati wa harusi yao, Amir Tabu. Tukio hilo la kusikitisha lililoshuhudiwa na...

 

10 years ago

GPL

TYGA AHARIBU ‘BETHIDEI’ YA BLAC CHYNA

Rapa Tyga. Los Angeles, Marekani
MODO Blac Chyna wikiendi iliyopita alisherehekea ‘bethidei’ yake kwa huzuni kufuatia kutokuwepo kwa aliyekuwa mpenzi wake, msanii Tyga.Chayna ambaye amezaa mtoto mmoja na rapa huyo, alikuwa akisherehekea kutimiza miaka 27 kwa huzuni kubwa kutokana na kutokuwepo kwa mzazi mwenzake huyo. Rapa Tyga akiwa na aliyekuwa mpenzi wake Blac Chyna. Chyna ambaye amepoteza penzi la Tyga,...

 

10 years ago

GPL

KIBAKA ACHOMWA MOTO AKIIBA MALI ZA ABIRIA BAADA YA AJALI KAHAMA

Kibaka baada ya kuchomwa moto. Wananchi wakishuhudia kibaka akichomwa moto. KIJANA mmoja ambaye bado hajafahamika jina lake anayedaiwa kuwa kibaka ameuawa kwa kuchomwa…

 

9 years ago

Bongo5

27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.

Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.

Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.

Kundi la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu wa UVCCM Sixtus Mapunda aharibu mipango ya wapinzani mkoani Iringa

blogger-image-659451675

 Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Sixtus Mapunda akiwapa maneno ya kishujaa wakazi wa mkoa wa Iringa.

blogger-image-1216819573

 Juliana Shonza akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Iringa.

blogger-image--2065107125

Viongozi Chama cha Mapinduzi wakiwa katika meza wakifuatia mkutano unavyoendelea.

Na Fredy Mgunda, Iringa

Katibu mkuu wa UVCCM Taifa afanya ziara ya jimbo la Kilolo kwa lengo la kukijenga chama  na kuangalia maendeleo ya chama hicho hasa ngazi vijana lakini akiwa katika ziara hiyo aliongozana na mwenyeji wake Katibu wa UVCCM mkoa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani