Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amchinja mke baada ya kunyimwa unyumba

Mkazi wa mmoja wa Nzega, mkoani Tabora, Juma Kiyabo (45) amemchija mke wake, Wande Monera (34), kabla ya mwenyewe kunusurika kifo baada ya kujijeruhi vibaya shingoni katika jaribio la kutaka kujiua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Achinja mke kwa kunyimwa unyumba

MTU mmoja mkazi wa wilayani Nzega mkoani Tabora, Juma Kiyabo (45) amempiga kisha kumchinja shingo mkewe, Wande Monera (34) na yeye kujaribu kujiua kwa kujikata koromeo lake.

 

11 years ago

GPL

AHARIBU MALI ZA HAWARA BAADA YA KUNYIMWA UNYUMBA

Stori: Makongoro Oging’
MAKUBWA! RB nambari TBT/RB/3478/2014  ya Kituo cha Polisi Tabata, jijini Dar es Salaam ina kesi ya dereva taksi aliyepatikana kwa jina moja la Lindoya akidaiwa kuharibu mali za Asia Hakika kwa sababu eti alinyimwa unyumba, Uwazi linakuhabarisha. Asia Hakika anayedai kuharibiwa mali zake na dereva taksi aitwaye Lindoya.
Mlalamikaji Asia, mkazi wa Tabata – Chama na mtuhumiwa Lindoya...

 

10 years ago

GPL

BABA AKIMBIA FAMILIA BAADA YA MKE KUPOOZA

Na Haruni Sanchawa
MAMA mmoja Aisha Ramadhani (26),  mkazi  wa Gongo la Mboto , Ilala jijini Dar es Salaam amedai kuwa amekimbiwa na mume aliyemtaja kwa jina Athuman Hussein baada ya kupooza kwa miaka miwili. Aisha Ramadhani anayedai kutorokwa na mumewe baada ya kupooza. Akizungumza na gazeti hili wiki iliyopita huku akibubujikwa na machozi , mama huyo wa mtoto mmoja alisema anateseka kwa miaka miwili sasa na amehangaika...

 

9 years ago

Mwananchi

Ajinyonga kwa katani baada ya kunyang’anywa mke

Mkazi wa kitongoji cha Mihuru, kijiji cha Kitarungu wilayani Serengeti, Mara amejinyonga kwa kutumia kamba ya katani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kukosa ng’ombe wa kulipa mahari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mpishi amchinja na 'kumpika' mpenziwe

Mwanamume mpishi nchini Australia, anadaiwa kumuua mpenzi wake na kumkatakata vipande na kupika baadhi ya sehemu zake za mwili.

 

11 years ago

Mwananchi

Amchinja mtoto, naye auawa D’Salaam

Watu wawili wamefariki dunia katika tukio lililokuwa na mwendelezo, mmoja akimchinja mtoto na yeye kuuawa kwa kupigwa mawe na wananchi wenye hasira

 

10 years ago

CloudsFM

PATCHO MWAMBA AMSAMEHE ALIMZUSHIA KUWA AMEPIGWA BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU

Msanii maarufu wa bendi na ambaye pia muigizaji wa Bongo Movie, Patcho Mwamba amemsamehe aliyemzushia kuwa amepigwa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu kwenye hotel ya Sinza.

Kupitia mtandaoni aliyedaiwa kumzushia jamaa alitwaye Seth ameonekana amepiga picha na Patcho na kuandika kuwa ameomba msamaha na kwamba alikurupuka kuandika bila kufanyia uchunguzi habari hiyo.
Kupitia Uheard ya Clouds fm na Soudy Brown Patcho alitangaza kuwa ataenda sambamba na wote waliomzushia kufumaniwa na kuingiliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani