Katibu Mkuu wa UVCCM Sixtus Mapunda aharibu mipango ya wapinzani mkoani Iringa
Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Sixtus Mapunda akiwapa maneno ya kishujaa wakazi wa mkoa wa Iringa.
Juliana Shonza akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Iringa.
Viongozi Chama cha Mapinduzi wakiwa katika meza wakifuatia mkutano unavyoendelea.
Na Fredy Mgunda, Iringa
Katibu mkuu wa UVCCM Taifa afanya ziara ya jimbo la Kilolo kwa lengo la kukijenga chama na kuangalia maendeleo ya chama hicho hasa ngazi vijana lakini akiwa katika ziara hiyo aliongozana na mwenyeji wake Katibu wa UVCCM mkoa wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cu2sKIagwxc/VTiFA9Vh7cI/AAAAAAAAAMY/VndbvJ8lmWc/s72-c/IMG-20150422-WA0069.jpg)
KATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA AENDELEA KUVURUGA MIPANGO YA WAPINZANI KATIKA JIMBO LA ISMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cu2sKIagwxc/VTiFA9Vh7cI/AAAAAAAAAMY/VndbvJ8lmWc/s1600/IMG-20150422-WA0069.jpg)
Na Fredy Mgunda,Iringa
Katibu wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Iringa, Hassani Mtenga amewataka wananchi wa tarafa ya Pawaga katika jimbo la Isimani kuendelea kumwamini Mbunge wa jimbo hilo kwa kuwa anawatendea haki kwa kuwaletea maendeleo.
akizungumza katika mkutano huo, MTENGA amewataka wananchi kuendelea kukiamini chama hicho kutokana na kutekeza ahadi zao ambazo wanakuwa wanaziahidi kwa...
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/MAPUNDA.jpg)
SIXTUS MAPUNDA, ESTER MATIKU WAIBUKA KIDEDEA UBUNGE
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana awasili Mkoani Iringa kwa ziara ya siku sita
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivishwa skafu mara baada ya kuwasili mkoani Iringa kuanza ziara ya siku sita ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo ikiwa ni pamoja na kukagua uhai wa chama. Katika ziara hiyo Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi, Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Jesca Msambatavangu na katikati ni Katibu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-tKm_fKrlxrk/XuZWqQGKreI/AAAAAAACNYE/JkK_Tcb91DQSClpUK4Litu4-L5nbYUXzgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_2020-06-14_171946.jpg)
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM NA AHADI ZA MBUNGE WA MBINGA MJINI SIXTUS MAPUNDA 2015-2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-tKm_fKrlxrk/XuZWqQGKreI/AAAAAAACNYE/JkK_Tcb91DQSClpUK4Litu4-L5nbYUXzgCLcBGAsYHQ/s400/Screenshot_2020-06-14_171946.jpg)
Baada ya mbunge huyo Mh. Sixtus Mapunda kukaribia kuhitimisha miaka yake ya Ubunge katika jimbo hilo, yeye na timu yake wametayarisha Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM sambamba na...
10 years ago
Habarileo12 Dec
Katibu Mkuu UVCCM ziarani Kanda ya Ziwa
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Sixtus Mapunda anatarajia kufanya ziara ya siku nne (14) katika mikoa minne ya Kanda ya Ziwa, ambayo ni Tabora, Shinyanga, Geita na Kagera kuanzia leo.
10 years ago
Habarileo31 Aug
Msamiati wa Uzanzibari wamkera Naibu Katibu Mkuu UVCCM
NAIBU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar Shaka Hamdu Shaka amewatahadharisha wananchi kisiwani Pemba kutowasikiliza wanaoutumia msamiati wa uzanzibari kuwagawa.
11 years ago
Michuzi15 Jul
KATIBU MKUU WA UVCCM AFANYA ZIARA MKOA WA ARUSHA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![six14](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/WblNZMoiikrwIdyy0xbIm6puXjn4MpAdL53ErOQi1NgHjNRJ0L-jVvHfJuUTHrFXn-3IoeQL4RWnEfxdzFSWzfSbDueBRgnmKhPMpi5sfkbbrntkVRCqZtOeGw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six14.jpg?w=627&h=470)
![six12](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/RcIPr4IRoPRSSgMy6MxIVLZ4i9-d4wRIEzi9J1nqhqwu6oq78vzu70TkMkt-y-QezxdQT6Pmod-6fVlpWbq_Fhs0TXvMlyubkMDqAq6NlCwkO7DI1BraxPPDrQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six12.jpg?w=627&h=470)
![six11](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/qMBWa5m9owwyylsu203esghWi33WFMW7z_NSJl32H728FPYD57A3VCRzkH1e768KLOlh0xyxc0VWNtnYuVtrmrU5rQNLmsDkZKLiiRdurwLzCUj0zXS9kYtc2w=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six11.jpg?w=627&h=470)
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Katibu Mkuu wa UVCCM apata mapokezi ya Kihistoria Mbinga
Katibu mkuu wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndugu Sixtus Mapunda amepata makubwa wilayani Mbinga yaliyoacha gumzo kubwa wilayani hapo. Mapunda ambaye alitoke wilaya ya Nyasa amepokelewa kwa kishindo kikubwa na viongozi wa CCM pamoja na mamia ya wananchi wa wilaya ya Mbinga ambako ndipo alikozaliwa.
Mapunda ameingia Mbinga jana akitokea wilaya ya Nyasa ambapo ni muendelezo wa ziara yake ya siku tano (5) Mkoani Ruvuma. Ziara ambayo inalenga kukagua na...