KATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA AENDELEA KUVURUGA MIPANGO YA WAPINZANI KATIKA JIMBO LA ISMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cu2sKIagwxc/VTiFA9Vh7cI/AAAAAAAAAMY/VndbvJ8lmWc/s72-c/IMG-20150422-WA0069.jpg)
Katibu wa CCM mkoa wa Iringa, HASSAN MTENGA akijibu maswali ya wananchi wa tarafa ya pawaga.
Na Fredy Mgunda,Iringa
Katibu wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Iringa, Hassani Mtenga amewataka wananchi wa tarafa ya Pawaga katika jimbo la Isimani kuendelea kumwamini Mbunge wa jimbo hilo kwa kuwa anawatendea haki kwa kuwaletea maendeleo.
akizungumza katika mkutano huo, MTENGA amewataka wananchi kuendelea kukiamini chama hicho kutokana na kutekeza ahadi zao ambazo wanakuwa wanaziahidi kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziVIJANA WA CCM IRINGA WAMPA NGUVU KATIBU WA MKOA HASSAN MTENGA KUKOMBOA JIMBO, LA IRINGA MJINI
KIU ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kukomboa jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu inazidi kuongezeka, baada ya umoja wake wa vijana (UVCCM Manispaa ya Iringa) kuahidi kuongeza nguvu ili kuufanikisha mkakati huo.
CCM ililipoteza jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 kwa Mchungaji Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayekaribia kumaliza muda wake.
Katika...
10 years ago
Dewji Blog04 May
Katibu Mkuu wa UVCCM Sixtus Mapunda aharibu mipango ya wapinzani mkoani Iringa
Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Sixtus Mapunda akiwapa maneno ya kishujaa wakazi wa mkoa wa Iringa.
Juliana Shonza akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Iringa.
Viongozi Chama cha Mapinduzi wakiwa katika meza wakifuatia mkutano unavyoendelea.
Na Fredy Mgunda, Iringa
Katibu mkuu wa UVCCM Taifa afanya ziara ya jimbo la Kilolo kwa lengo la kukijenga chama na kuangalia maendeleo ya chama hicho hasa ngazi vijana lakini akiwa katika ziara hiyo aliongozana na mwenyeji wake Katibu wa UVCCM mkoa wa...
11 years ago
GPLKATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_cJJTbbfkfY/VPiPQgOuK5I/AAAAAAAHH24/MOoFPrWq5GY/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_cJJTbbfkfY/VPiPQgOuK5I/AAAAAAAHH24/MOoFPrWq5GY/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yIEdXuovpMc/VPiQKvfMsMI/AAAAAAAHH48/5VhObiGn4Ns/s1600/6.jpg)
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE NDANI YA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tCe3mvVmPxg/VQn3YTB4UiI/AAAAAAAC11g/mdqPVUDr8Po/s72-c/_MG_3013.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBO LA ARUMERU MAGHARIBI MKOANI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-tCe3mvVmPxg/VQn3YTB4UiI/AAAAAAAC11g/mdqPVUDr8Po/s1600/_MG_3013.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HkNx0lB1ZZI/VQn3Xa-CxcI/AAAAAAAC11U/dhZkoJAS0rs/s1600/_MG_2995.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nN1C_HIJ43s/VQn3s3HRMgI/AAAAAAAC12I/6UCqCyIGAa0/s1600/_MG_3015.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BGIpbGFDolI/VQn3fRz6IWI/AAAAAAAC110/jUXlUCSwK8Q/s1600/_MG_3103.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUleywIy3uU/VMDy7LZGdtI/AAAAAAACyO4/oLWbuPuwM1E/s72-c/4.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOA WA KASKAZINI UNGUJA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUleywIy3uU/VMDy7LZGdtI/AAAAAAACyO4/oLWbuPuwM1E/s1600/4.jpg)
Ktibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Wanachama wa kikundi cha Ushirika wa Tuko Imara mara baada ya kushiriki kupanda Migomba,katika Kijiji cha Banda Maji,Wilaya ya Kaskazini A mkoa wa Kaskazini Unguja mapema leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-VWwUsOB8svs/VMDy73C5C5I/AAAAAAACyPA/8mAB5txHeuk/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qmn2mScrTm4/VMDy8j3PoDI/AAAAAAACyPI/f-YmrdmKGmE/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jxHSDI8-qCo/VPoCzPwd4wI/AAAAAAAHIKE/-ZAR3R45nfs/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBO LA KONGWA MKOANI DODOMA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-jxHSDI8-qCo/VPoCzPwd4wI/AAAAAAAHIKE/-ZAR3R45nfs/s1600/1.jpg)
11 years ago
GPLMAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA KATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA SIKU YA JANA