Msamiati wa Uzanzibari wamkera Naibu Katibu Mkuu UVCCM
NAIBU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar Shaka Hamdu Shaka amewatahadharisha wananchi kisiwani Pemba kutowasikiliza wanaoutumia msamiati wa uzanzibari kuwagawa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s72-c/IMG-20150527-WA0013.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE NA BALOZI WA TANZANIA SAUDIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s640/IMG-20150527-WA0013.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ceZl_-FiM1w/VWXW2zZlSOI/AAAAAAAAeA8/G1BiVYu6OLc/s640/IMG-20150527-WA0020.jpg)
9 years ago
VijimamboJK AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU NA KATIBU TAWALA
10 years ago
Habarileo12 Dec
Katibu Mkuu UVCCM ziarani Kanda ya Ziwa
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Sixtus Mapunda anatarajia kufanya ziara ya siku nne (14) katika mikoa minne ya Kanda ya Ziwa, ambayo ni Tabora, Shinyanga, Geita na Kagera kuanzia leo.
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-RG4Vhd_Z8W4/VIVsJOQXDAI/AAAAAAAG17M/d60WBBk--QM/s1600/IMG_7729.jpg?width=650)
DKT. SHEIN AWAAPISHA KAIMU JAJI MKUU NA NAIBU KATIBU MKUU AFYA ZANZIBAR LEO
11 years ago
Michuzi15 Jul
KATIBU MKUU WA UVCCM AFANYA ZIARA MKOA WA ARUSHA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![six14](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/WblNZMoiikrwIdyy0xbIm6puXjn4MpAdL53ErOQi1NgHjNRJ0L-jVvHfJuUTHrFXn-3IoeQL4RWnEfxdzFSWzfSbDueBRgnmKhPMpi5sfkbbrntkVRCqZtOeGw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six14.jpg?w=627&h=470)
![six12](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/RcIPr4IRoPRSSgMy6MxIVLZ4i9-d4wRIEzi9J1nqhqwu6oq78vzu70TkMkt-y-QezxdQT6Pmod-6fVlpWbq_Fhs0TXvMlyubkMDqAq6NlCwkO7DI1BraxPPDrQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six12.jpg?w=627&h=470)
![six11](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/qMBWa5m9owwyylsu203esghWi33WFMW7z_NSJl32H728FPYD57A3VCRzkH1e768KLOlh0xyxc0VWNtnYuVtrmrU5rQNLmsDkZKLiiRdurwLzCUj0zXS9kYtc2w=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six11.jpg?w=627&h=470)
10 years ago
Dewji Blog01 Mar
Katibu Mkuu UVCCM Taifa, amlilia Capt. Komba
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Sixtus Mapunda (pichani) amesikitishwa na k ifo cha ghafla cha aliyekuwa Mbunge wa Mbinga, Marehem Capt. John Komba aliyefariki, wakati akiendelea na matibabu katika Hospital ya TMJ, jijini Dar es Salaam, jana Februari 28, majira ya saa 10, jioni.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook, Sixtus ambaye alikuwa akifanya kazi za kichama karibu na marehemu zikiwemo zile za jimboni, ambapo alisema nyota ya Capt. Komba imezimika ghafla...
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Katibu Mkuu wa UVCCM apata mapokezi ya Kihistoria Mbinga
Katibu mkuu wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndugu Sixtus Mapunda amepata makubwa wilayani Mbinga yaliyoacha gumzo kubwa wilayani hapo. Mapunda ambaye alitoke wilaya ya Nyasa amepokelewa kwa kishindo kikubwa na viongozi wa CCM pamoja na mamia ya wananchi wa wilaya ya Mbinga ambako ndipo alikozaliwa.
Mapunda ameingia Mbinga jana akitokea wilaya ya Nyasa ambapo ni muendelezo wa ziara yake ya siku tano (5) Mkoani Ruvuma. Ziara ambayo inalenga kukagua na...
10 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME WILAYANI KISHAPU