Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katibu Mkuu wa UVCCM apata mapokezi ya Kihistoria Mbinga

10253914_742044062537178_1342623994266714427_n

Katibu mkuu wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndugu Sixtus Mapunda amepata makubwa wilayani Mbinga yaliyoacha gumzo kubwa wilayani hapo. Mapunda ambaye alitoke wilaya ya Nyasa amepokelewa kwa kishindo kikubwa na viongozi wa CCM pamoja na mamia ya wananchi wa wilaya ya Mbinga ambako ndipo alikozaliwa.

Mapunda ameingia Mbinga jana akitokea wilaya ya Nyasa ambapo ni muendelezo wa ziara yake ya siku tano (5) Mkoani Ruvuma. Ziara ambayo inalenga kukagua na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA APATA MAPOKEZI YA KIHISTORIA KISIWANI PEMBA

- Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa akiwapungia mkono wananchi, wakati akiwa njiani kuelekea kwenye Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Tibirinzi, Kisiwani Pemba leo October 3, 2015.- Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa akiwa ameusimamisha msafara wake...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM AANZA ZIARA YAKE MKOANI LINDI, APATA MAPOKEZI MAZURI SOMANGA KILWA

1Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivalishwa Skafu na vijana na wa Chipukizi wakati alipowasili eneo la Somanga wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi akianza ziara yake ya siku 16 katika mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza sughuli za maendeleo zinazotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na wananchi, Katibu Mkuu huyo anaongozana naNape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi pamoja na Mjumbe wa NEC mkoa wa Lindi na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abulrahman Kinana aanza ziara yake mkoani Lindi, apata mapokezi mazuri Somanga Kilwa

1

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivalishwa Skafu na vijana na wa Chipukizi wakati alipowasili eneo la Somanga wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi akianza ziara yake ya siku 16 katika mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza sughuli za maendeleo zinazotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na wananchi, Katibu Mkuu huyo anaongozana naNape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi pamoja na Mjumbe wa NEC mkoa wa Lindi na...

 

9 years ago

Dewji Blog

LOWASSA apata mapokezi ya Kihistoria Kisiwani Pemba, wafuasi wa UKAWA wafurika kumpokea

unnamed (1) Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa akiwapungia mkono wananchi, wakati akiwa njiani kuelekea kwenye Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Tibirinzi, Kisiwani Pemba leo October 3, 2015..

..     Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa akifurahi jambo na Mgombea...

 

10 years ago

Vijimambo

Mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar Salumu Mwalimu


Naibu Katibu Mkuu wa Chademba Zanzibar, Salumu Mwalimu akipokewa na viongozi wa chama hicho baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Zanzibar akifuatana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk.Wilbrod Slaa (kulia) na viongozi wengine wa chama hicho jana.


 Mamia ya wananchi na wafuasi wa Chadema kwenye mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Salumu Mwalimu baada ya kuwasili kwenye ofisi hiyo Darajabovu mjini Zanzibar jana.

Dk.Slaa akiteta jambo na manaibu wake, John Mnyika (kushoto) na Salumu Mwalimu...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU AKAGUA MAANDALIZI YA MAPOKEZI YA WANAFUNZI MZUMBE


Hapa akikagua moja ya vifaa vilivyofungwa kuwezesha wanafunzi kunawa na sabuni na maji tiririka kabla ya kuingia darasani. Eneo hili ni kwenye ukumbi wa mihadhara (lecture theatre) Fanon.
Makamu Mkuu wa Chuo akifanya mjumuisho katika wa ziara ya ukaguzi iliyofanywa na Naibu Katibu Mkuu. Wanaoonekana pichani ni baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya Chuo Kikuu Mzumbe na watendaji katika Kituo cha Afya.

Naibu Katibu Mkuu Dr. Evamarie Semakafu, akitoa maelekezo ya maboresho baada ya kupokea taarifa...

 

10 years ago

Habarileo

Katibu Mkuu UVCCM ziarani Kanda ya Ziwa

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Sixtus Mapunda anatarajia kufanya ziara ya siku nne (14) katika mikoa minne ya Kanda ya Ziwa, ambayo ni Tabora, Shinyanga, Geita na Kagera kuanzia leo.

 

10 years ago

Habarileo

Msamiati wa Uzanzibari wamkera Naibu Katibu Mkuu UVCCM

Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu ShakaNAIBU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar Shaka Hamdu Shaka amewatahadharisha wananchi kisiwani Pemba kutowasikiliza wanaoutumia msamiati wa uzanzibari kuwagawa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu UVCCM Taifa, amlilia Capt. Komba

1

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Sixtus Mapunda (pichani) amesikitishwa na k ifo cha ghafla cha aliyekuwa Mbunge wa Mbinga, Marehem Capt. John Komba aliyefariki, wakati akiendelea na matibabu katika Hospital ya TMJ, jijini Dar es Salaam, jana Februari 28, majira ya saa 10, jioni.

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook, Sixtus ambaye alikuwa akifanya kazi za kichama karibu na marehemu zikiwemo zile za jimboni, ambapo alisema nyota ya Capt. Komba imezimika ghafla...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani