Katibu Mkuu wa UVCCM apata mapokezi ya Kihistoria Mbinga
Katibu mkuu wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndugu Sixtus Mapunda amepata makubwa wilayani Mbinga yaliyoacha gumzo kubwa wilayani hapo. Mapunda ambaye alitoke wilaya ya Nyasa amepokelewa kwa kishindo kikubwa na viongozi wa CCM pamoja na mamia ya wananchi wa wilaya ya Mbinga ambako ndipo alikozaliwa.
Mapunda ameingia Mbinga jana akitokea wilaya ya Nyasa ambapo ni muendelezo wa ziara yake ya siku tano (5) Mkoani Ruvuma. Ziara ambayo inalenga kukagua na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--nBxkGb7vJY/Vg_jS5prDJI/AAAAAAAAaNo/owmoC_-_q9U/s72-c/OTH_8234.jpg)
LOWASSA APATA MAPOKEZI YA KIHISTORIA KISIWANI PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/--nBxkGb7vJY/Vg_jS5prDJI/AAAAAAAAaNo/owmoC_-_q9U/s640/OTH_8234.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vseRrqqque8/Vg_jVFl999I/AAAAAAAAaNw/pZH383Z0Rg8/s640/OTH_8227%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VJbVBRgxXXI/Vg_jZXxYs-I/AAAAAAAAaOA/Zkr_7Ga5pXE/s640/OTH_8265.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pxwb_8GBLX4/Vg_jbdRR5AI/AAAAAAAAaOI/Gxd1XP8arIE/s640/OTH_8396.jpg)
10 years ago
Michuzi15 Nov
KATIBU MKUU WA CCM AANZA ZIARA YAKE MKOANI LINDI, APATA MAPOKEZI MAZURI SOMANGA KILWA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/147.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abulrahman Kinana aanza ziara yake mkoani Lindi, apata mapokezi mazuri Somanga Kilwa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivalishwa Skafu na vijana na wa Chipukizi wakati alipowasili eneo la Somanga wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi akianza ziara yake ya siku 16 katika mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza sughuli za maendeleo zinazotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na wananchi, Katibu Mkuu huyo anaongozana naNape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi pamoja na Mjumbe wa NEC mkoa wa Lindi na...
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
LOWASSA apata mapokezi ya Kihistoria Kisiwani Pemba, wafuasi wa UKAWA wafurika kumpokea
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa akiwapungia mkono wananchi, wakati akiwa njiani kuelekea kwenye Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Tibirinzi, Kisiwani Pemba leo October 3, 2015..
![](http://4.bp.blogspot.com/-c8RDOFHt1u4/Vg_topudqOI/AAAAAAAAO8o/PjZ7H6REfV0/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YNRNdv1U7u0/Vg_tosQeosI/AAAAAAAAO8w/puja8iyfm1c/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboMapokezi ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar Salumu Mwalimu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1LUaPwurOW4/XtJlWN7k4iI/AAAAAAALsFw/50wiX4B_JzUNvTvuRW7EYI22IYsY-caAQCLcBGAsYHQ/s72-c/129ccf4e-b8fd-4074-a7c4-77a9f87ad7e8.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU AKAGUA MAANDALIZI YA MAPOKEZI YA WANAFUNZI MZUMBE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1LUaPwurOW4/XtJlWN7k4iI/AAAAAAALsFw/50wiX4B_JzUNvTvuRW7EYI22IYsY-caAQCLcBGAsYHQ/s640/129ccf4e-b8fd-4074-a7c4-77a9f87ad7e8.jpg)
Hapa akikagua moja ya vifaa vilivyofungwa kuwezesha wanafunzi kunawa na sabuni na maji tiririka kabla ya kuingia darasani. Eneo hili ni kwenye ukumbi wa mihadhara (lecture theatre) Fanon.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/a5fe0e4c-8f76-4290-a622-37bc6a88ec4e.jpg)
Makamu Mkuu wa Chuo akifanya mjumuisho katika wa ziara ya ukaguzi iliyofanywa na Naibu Katibu Mkuu. Wanaoonekana pichani ni baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya Chuo Kikuu Mzumbe na watendaji katika Kituo cha Afya.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/a121554d-9ac0-4f4a-bee2-1e4b8f915f03.jpg)
Naibu Katibu Mkuu Dr. Evamarie Semakafu, akitoa maelekezo ya maboresho baada ya kupokea taarifa...
10 years ago
Habarileo12 Dec
Katibu Mkuu UVCCM ziarani Kanda ya Ziwa
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Sixtus Mapunda anatarajia kufanya ziara ya siku nne (14) katika mikoa minne ya Kanda ya Ziwa, ambayo ni Tabora, Shinyanga, Geita na Kagera kuanzia leo.
10 years ago
Habarileo31 Aug
Msamiati wa Uzanzibari wamkera Naibu Katibu Mkuu UVCCM
NAIBU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar Shaka Hamdu Shaka amewatahadharisha wananchi kisiwani Pemba kutowasikiliza wanaoutumia msamiati wa uzanzibari kuwagawa.
10 years ago
Dewji Blog01 Mar
Katibu Mkuu UVCCM Taifa, amlilia Capt. Komba
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Sixtus Mapunda (pichani) amesikitishwa na k ifo cha ghafla cha aliyekuwa Mbunge wa Mbinga, Marehem Capt. John Komba aliyefariki, wakati akiendelea na matibabu katika Hospital ya TMJ, jijini Dar es Salaam, jana Februari 28, majira ya saa 10, jioni.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook, Sixtus ambaye alikuwa akifanya kazi za kichama karibu na marehemu zikiwemo zile za jimboni, ambapo alisema nyota ya Capt. Komba imezimika ghafla...