Katibu Mkuu UVCCM Taifa, amlilia Capt. Komba
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Sixtus Mapunda (pichani) amesikitishwa na k ifo cha ghafla cha aliyekuwa Mbunge wa Mbinga, Marehem Capt. John Komba aliyefariki, wakati akiendelea na matibabu katika Hospital ya TMJ, jijini Dar es Salaam, jana Februari 28, majira ya saa 10, jioni.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook, Sixtus ambaye alikuwa akifanya kazi za kichama karibu na marehemu zikiwemo zile za jimboni, ambapo alisema nyota ya Capt. Komba imezimika ghafla...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Dec
Katibu Mkuu UVCCM ziarani Kanda ya Ziwa
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Sixtus Mapunda anatarajia kufanya ziara ya siku nne (14) katika mikoa minne ya Kanda ya Ziwa, ambayo ni Tabora, Shinyanga, Geita na Kagera kuanzia leo.
10 years ago
Habarileo31 Aug
Msamiati wa Uzanzibari wamkera Naibu Katibu Mkuu UVCCM
NAIBU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar Shaka Hamdu Shaka amewatahadharisha wananchi kisiwani Pemba kutowasikiliza wanaoutumia msamiati wa uzanzibari kuwagawa.
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Katibu Mkuu wa UVCCM apata mapokezi ya Kihistoria Mbinga
Katibu mkuu wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Ndugu Sixtus Mapunda amepata makubwa wilayani Mbinga yaliyoacha gumzo kubwa wilayani hapo. Mapunda ambaye alitoke wilaya ya Nyasa amepokelewa kwa kishindo kikubwa na viongozi wa CCM pamoja na mamia ya wananchi wa wilaya ya Mbinga ambako ndipo alikozaliwa.
Mapunda ameingia Mbinga jana akitokea wilaya ya Nyasa ambapo ni muendelezo wa ziara yake ya siku tano (5) Mkoani Ruvuma. Ziara ambayo inalenga kukagua na...
11 years ago
Michuzi15 Jul
KATIBU MKUU WA UVCCM AFANYA ZIARA MKOA WA ARUSHA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![six14](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/WblNZMoiikrwIdyy0xbIm6puXjn4MpAdL53ErOQi1NgHjNRJ0L-jVvHfJuUTHrFXn-3IoeQL4RWnEfxdzFSWzfSbDueBRgnmKhPMpi5sfkbbrntkVRCqZtOeGw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six14.jpg?w=627&h=470)
![six12](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/RcIPr4IRoPRSSgMy6MxIVLZ4i9-d4wRIEzi9J1nqhqwu6oq78vzu70TkMkt-y-QezxdQT6Pmod-6fVlpWbq_Fhs0TXvMlyubkMDqAq6NlCwkO7DI1BraxPPDrQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six12.jpg?w=627&h=470)
![six11](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/qMBWa5m9owwyylsu203esghWi33WFMW7z_NSJl32H728FPYD57A3VCRzkH1e768KLOlh0xyxc0VWNtnYuVtrmrU5rQNLmsDkZKLiiRdurwLzCUj0zXS9kYtc2w=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/six11.jpg?w=627&h=470)
10 years ago
TheCitizen06 Mar
Capt. Komba deserves a slot in the gallery
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Katibu Mkuu UVCCM aanza ziara ya siku 14 kanda ya ziwa
Katibu Mkuu wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Ndugu Sixtus Mapunda (pichani) anategemea kufanya ziara ya siku na nne (14) katika mikoa minne ya Kanda ya Ziwa, ambayo ni Tabora, Shinyanga, Geita na Kagera kuanzia kesho tarehe 12st Dec 2014.
Ziara hii ya kikazi ya Katibu Mkuu inalenga kukagua na kuhimiza ujenzi na uimara wa jumuia ya Vijana katika maeneo husika lakini pia kushiriki kampeni zinazoendelea za uchaguzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AWdvIC-GNFQ/VIl1dK80knI/AAAAAAAG2gU/WfP-jcK9HuI/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
KATIBU MKUU UVCCM KUAANZA ZIARA YA SIKU 14 KANDA YA ZIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-AWdvIC-GNFQ/VIl1dK80knI/AAAAAAAG2gU/WfP-jcK9HuI/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
Ziara hii ya kikazi ya Katibu Mkuu inalenga kukagua na kuhimiza ujenzi na uimara wa jumuia ya Vijana katika maeneo husika lakini pia kushiriki kampeni zinazoendelea za uchaguzi wa Serikali za...
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
SHIWATA waombeleza kifo cha Capt. John Komba
Na Mwandishi wetu
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) unaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha Makamu Mwenyekiti wao, John Komba aliyefariki Jumamosi na kuzikwa jana nyumbani kwao kijiji cha Litui, Mbinga mkoa wa Ruvuma.
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib katika salamu zake za rambirambi alisema mtandao huo umempoteza kiongozi mwadilifu aliyetumia kipaji chake cha usanii kuwaunganisha makundi ya wanamichezo,waigizaji, wasanii wa luninga, bongo movie,wacheza sarakasi na waandishi...
10 years ago
Dewji Blog04 May
Katibu Mkuu wa UVCCM Sixtus Mapunda aharibu mipango ya wapinzani mkoani Iringa
Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Sixtus Mapunda akiwapa maneno ya kishujaa wakazi wa mkoa wa Iringa.
Juliana Shonza akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Iringa.
Viongozi Chama cha Mapinduzi wakiwa katika meza wakifuatia mkutano unavyoendelea.
Na Fredy Mgunda, Iringa
Katibu mkuu wa UVCCM Taifa afanya ziara ya jimbo la Kilolo kwa lengo la kukijenga chama na kuangalia maendeleo ya chama hicho hasa ngazi vijana lakini akiwa katika ziara hiyo aliongozana na mwenyeji wake Katibu wa UVCCM mkoa wa...