Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM NA AHADI ZA MBUNGE WA MBINGA MJINI SIXTUS MAPUNDA 2015-2020

Jimbo la Mbinga mjini lililopo katika Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, lina jumla ya Kata 19, na ni miongoni mwa majimbo ambayo yamebahatika kupata Wabunge Vijana. Baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwaka 2015, Jimbo hilo lilipahatika kumpata Mbunge Kijana anayeelezewa kuwa ni mchapakazi mahiri.

Baada ya mbunge huyo Mh. Sixtus Mapunda kukaribia kuhitimisha miaka yake ya Ubunge katika jimbo hilo, yeye na timu yake wametayarisha Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM sambamba na...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM NA AHADI ZA MBUNGE JIMBO LA CHALINZE 2015-2020


Mheshimiwa Ridhiwani Jakaya KikweteSALAMU KUTOKA KWA MHESHIMIWA RIDHIWANI JAKAYA KIKWETE MBUNGE WA CHALINZE (2015-2020)

Mwaka 1995 Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Gazeti lake la Serikali ilitangaza jimbo jipya
la Uchaguzi la Chalinze lenye Kata 15 katika Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.

Katika kipindi cha Miaka ishirini na mitano (25) toka kuanzish￾wa kwa jimbo hili la uchaguzi, tumeshuhudia maendeleo makubwa.

Pamoja na maendeleo yaliyopatikana katika kipindi hicho,...

 

5 years ago

CCM Blog

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM YA MBUNGE WA KOROGWE MJINI MH. MARY CHATANDA

 
UTANGULIZI
Jimbo la Korogwe Mjini linaundwa na Kata 11 ambazo ni Kata ya Manundu, Majengo, Mtonga, Masuguru, Magunga, Old Korogwe, Kwamndolwa, Kwamsisi, Kilole, Bagamoyo na Mgombezi. 

Idadi ya Watu ni 68308 ambapo Wanaume (me) 32912 na Wanawake (ke) 35386, kwa sensa ya 2012 maoteo ya 2018 me 38392 na ke 41289 jumla 79681, Mitaa 22, Vijiji 07 na Vitongoji 35.

Baada ya Uchaguzi Mkuu uliomalizika Oktoba 2015, Mbunge wa Jimbo hilo, Ndugu Mary Chatanda aliapishwa rasmi na kuanza majukumu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani