Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chopa afunguka alivyotaka ‘kujiua’ kisa Yanga.

Mkali wa filamu za Kibongo, Chopa Mchopanga amefunguka picha yake iliyosambaa kwenye mitandao mwishoni mwa wiki hii ikimuonyesha akiwa ameshika chupa ya bia na dawa,huku baadhi ya watu wakisema kuwa msanii huyo alitaka kujiua baada ya timu yake ya Yanga kufungwa na Simba.Akizungumza na Clouds alisema kuwa amekuwa akipigiwa simu nyingi kuhusiana na picha ile lakini ukweli ni kwamba picha ile ina mahusiano na timu hiyo(Yanga) ingawa haihusiani na mechi iliyochezwa Jumapili iliyopita katika...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PART III YA ADEBAYOR: KAKA ZANGU WALINIWEKEA KISU SHINGONI KISA FEDHA NA NIMEJARIBU MARA KADHAA KUTAKA KUJIUA

Emmanuel Adebayor katika pozi na kaka yake. Picha hii ameiweka leo Facebook. STRAIKA wa Tottenham Hotspur, Emmanuel Adebayor leo ametoa sehemu ya tatu ya historia yake ambapo ameeleza mambo mengi mazito aliyoyapitia maishani mwake. Emmanuel Adebayor akiwaTottenham Hotspur. Staa huyo mwenye miaka 31 raia wa Togo ameweka wazi kuwa mara kaka zake wawili Kola na Peter waliwahi kumwekea kisu shingoni wakitaka awapatie fedha.
...

 

10 years ago

GPL

JA RULE AFUNGUKA KISA CHA KUMPOTEZEA JAY Z

Mkali wa Hip hop, Ja Rule. UNAPOTAJA jina la Ja Rule kwa watu wa Hip Hop, Pop na R&B watakuwa wanalijua vizuri japokuwa miaka ya hivi karibuni umaarufu wa msanii husika umepungua. Ja Rule, rapa mzaliwa wa Kitongoji cha Queens jijini New York, alihojiwa na kituo kimoja cha redio mapema wiki hii, amefunguka mambo mengi kuhusu safari yake ya kisanii: Kutojiunga Roc-A-Fella Records Hii ni lebo ambayo ipo chini ya Jay Z, wakati Ja...

 

10 years ago

GPL

ALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE

Mwanamuziki Chiwa Malick Bandawe wakati akihojiwa na Global TV Online leo. Malick akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari wakati akihojiwa na Global TV Online.…

 

11 years ago

GPL

Loga akesha, kisa Yanga SC

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Hans Mloli
POINTI tatu katika mechi nne za mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara, zimemfanya Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, akose usingizi. Logarusic, raia wa Croatia, maarufu kama Loga, amesema kati ya pointi hizo 12, tatu ni zile dhidi ya Yanga na amekuwa akipiga hesabu atazipata vipi kwa kuwa wakikutana anatambua ‘patachimbika’. Akizungumza na Championi Jumatano,...

 

11 years ago

GPL

Yanga yatangaza waliopigwa chini, kisa Marcio Maximo

Kocha wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo. John Joseph na Wilbert Molandi
IMEFAHAMIKA kuwa ujio wa kocha wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo, umezuia ajira ya makocha 45 walioomba nafasi hiyo kwenye Klabu ya Yanga, lakini pia tayari ameshakabidhiwa majukumu ya kufanya usajili. Maximo raia wa Brazil, yupo katika hatua za mwisho za kumalizana na klabu hiyo ya Jangwani kabla ya kutua jijini Dar es Salaam kuusaini mkataba...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi waelezwa Slaa alivyotaka kuuawa

Mchumba wa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa, Josephine Mushumbusi MCHUMBA wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbrod Slaa, Josephine Mushumbusi jana ametoa maelezo yake katika Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam kuhusu tuhuma za kutaka kuuawa kwa katibu huyo.

 

11 years ago

GPL

CHID BENZ ALIVYOTAKA KUUA DEMU

Stori:  Erick Evarist na Issa MnaLly
MAJANGA! Msanii wa Hip Hop anayetokea Ilala, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ amedaiwa kumpa kipigo kizito mpenzi wake wa zamani aliyefahamika kwa jina la Mwanaisha Kiboye. Rashid Makwiro ‘Chid Benz’. Tukio hilo lililokusanya umati wa watu lilijiri Jumapili iliyopita maeneo ya Buguruni (kwenye mafleti) jijini Dar ambapo Chid alikuwa kwenye mizunguko yake na mpenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani