JA RULE AFUNGUKA KISA CHA KUMPOTEZEA JAY Z

Mkali wa Hip hop, Ja Rule. UNAPOTAJA jina la Ja Rule kwa watu wa Hip Hop, Pop na R&B watakuwa wanalijua vizuri japokuwa miaka ya hivi karibuni umaarufu wa msanii husika umepungua. Ja Rule, rapa mzaliwa wa Kitongoji cha Queens jijini New York, alihojiwa na kituo kimoja cha redio mapema wiki hii, amefunguka mambo mengi kuhusu safari yake ya kisanii: Kutojiunga Roc-A-Fella Records Hii ni lebo ambayo ipo chini ya Jay Z, wakati Ja...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE
11 years ago
CloudsFM05 Aug
PROFESA JAY AFUNGUKA KUGOMBEA UBUNGE 2015
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Profesa Jay wa Mitulinga, kama unakumbuka vizuri tarehe 21 mwezi wa tano mwaka jana 2013 alikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa chama siasa cha CHADEMA na aliyemkabidhi kadi hiyo ni mbunge ambaye pia ni msanii wa Hip Hop Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu.
Baada ya hapo hisia za Watanzania zilisafiri mpaka mjini Songea na kutoa jibu kwamba mwaka 2015 msanii huyo atagombea ubunge katika moja kati ya majimbo ya mkoani Ruvuma. Clouds fm imepiga stori na Profesa Jay huyu...
10 years ago
Vijimambo
LADY JAY DEE AFUNGUKA KUHUSU KUWA NA MTOTO!

SWALI:Utazaa lini?JIBU : Sijajua mpk sasa nitazaa lini, ila siku yoyote ile ikitokea naweza kuzaa
SWALI: Kwanini huna mtoto /watoto?JIBU : Sina...
10 years ago
CloudsFM11 Mar
Chopa afunguka alivyotaka ‘kujiua’ kisa Yanga.
Mkali wa filamu za Kibongo, Chopa Mchopanga amefunguka picha yake iliyosambaa kwenye mitandao mwishoni mwa wiki hii ikimuonyesha akiwa ameshika chupa ya bia na dawa,huku baadhi ya watu wakisema kuwa msanii huyo alitaka kujiua baada ya timu yake ya Yanga kufungwa na Simba.
Akizungumza na Clouds alisema kuwa amekuwa akipigiwa simu nyingi kuhusiana na picha ile lakini ukweli ni kwamba picha ile ina mahusiano na timu hiyo(Yanga) ingawa haihusiani na mechi iliyochezwa Jumapili iliyopita katika...
10 years ago
GPL
KISA RIHANNA, BEYONCE NA JAY Z WAINGIA KATIKA MGOGORO
10 years ago
GPL25 May
10 years ago
Vijimambo
Ruge Afunguka Kwanini Baadhi ya Wasanii Wanamchukia...Adai Lady Jay Dee Waliniumiza Kichwa Sana

Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo anaona yamemsumbua sana.Mtaje Mr ll, mtaje Lady Jay Dee na mtaje Q Chief, utakuwa umemkumbusha mbali mkurugenzi huyo wa vipindi wa Clouds Media, ambaye pia amefanya kazi ya kusimamia wasanii wengi na ndiye kiongozi wa chuo cha Tanzania House of Talents (THT).
Katika makala haya, Ruge anazungumzia mambo...
10 years ago
CloudsFM20 Jan
JAY MOE ASHINDWA KUTOA ALBAM KISA KUKOSA MWAMKO WA ALBUM ZA BONGO FLEVA HIVI SASA.