CHID BENZ ALIVYOTAKA KUUA DEMU

Stori: Erick Evarist na Issa MnaLly MAJANGA! Msanii wa Hip Hop anayetokea Ilala, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ amedaiwa kumpa kipigo kizito mpenzi wake wa zamani aliyefahamika kwa jina la Mwanaisha Kiboye. Rashid Makwiro ‘Chid Benz’. Tukio hilo lililokusanya umati wa watu lilijiri Jumapili iliyopita maeneo ya Buguruni (kwenye mafleti) jijini Dar ambapo Chid alikuwa kwenye mizunguko yake na mpenzi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
SAKATA LA CHID BENZ KUTAKA KUMUUA DEMU
10 years ago
Bongo507 Nov
Chid Benz na Fid Q kufanya album ya pamoja, Chid aizungumzia project hiyo
10 years ago
Daily News20 Feb
Chid Benz pleads guilty
Daily News
FAMOUS local hip-hop musician Rashid Abdallah Makwiro, alias Chid Benz (29), yesterday pleaded guilty to all the charges against him of unlawfully possession of narcotic drugs at Kisutu Resident Magistrate's Court. Before Principal Resident Magistrate ...
10 years ago
GPL
KESI YA CHID BENZ YAAHIRISHWA
11 years ago
GPL
CHID BENZ NA USTAA PORI
10 years ago
GPL
KESI YA CHID BENZ YAHIRISHWA
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Chid Benz huru mtaani
Na modewji blog team
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mapema ya leo imemwachia huru mwanamuziki Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ (pichani) baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya.
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi. Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda...
11 years ago
GPL
CHID BENZ APATA DHAMANA
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Chid Benz atimuliwa mahakamani