Pluijm aiponda BDF
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amekasirishwa na mfumo wa kujilinda uliotumiwa na BDF XI kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Licha ya BDF kucheza kwa staili hiyo, Yanga ilifanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Amissi Tambwe.
Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Pluijm alisema timu yake ilipata shida sana kucheza nyuma ya mabeki watano wa BDF na kupelekea kutumia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Kocha Pluijm: BDF hawatoki Taifa leo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amewaondoa shaka mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya BDF XI ya Botswana utakaofanyika leo na kueleza kuwa timu yake itawafunga Wabotswana hao.
Yanga itachuana na BDF kwenye mchezo wa hatua ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni leo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana mbele ya waandishi wa habari kwenye mkutano wa makocha wa pande...
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Diamond aiponda Basata
BAADA ya wasani wanaowania tuzo za Kilimanjaro Music Awards kuwekwa hadharani, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond’ ameibuka na kusema Baraza la Sanaa la Taifa (Basata),...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Stewart aiponda Azam FC
10 years ago
Habarileo01 Aug
Mwenyekiti Yanga aiponda Simba
MWENYEKITI wa Matawi ya Yanga Visiwani Zanzibar Said Ali Manzi amesema kuwa viwango wanavyoonesha wachezaji wa Simba ni vibovu tofauti na walivyotarajia.
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Dk Kigoda aiponda TCCIA Mbeya
11 years ago
Mwananchi28 Jan
JK aiponda ripoti ya mafuriko Dumila
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Mkapa aiponda misaada kutoka nje
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Kocha Loga aiponda ziara ya Yanga
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Blatter aiponda kamati ya maadili Fifa kumjadili