Diamond aiponda Basata
BAADA ya wasani wanaowania tuzo za Kilimanjaro Music Awards kuwekwa hadharani, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond’ ameibuka na kusema Baraza la Sanaa la Taifa (Basata),...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ywXdLN72sPs/Vht0X1CH6rI/AAAAAAAH_IE/dl737s0_-ck/s72-c/DiamondBasketmout.jpg)
DIAMOND,VANNESA NA OMMY DIMPOZ WALIVYOIPEPERUSHA VYEMA BENDERA YA TANZANIA UGHAIBUNI, BASATA LAWAPONGEZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ywXdLN72sPs/Vht0X1CH6rI/AAAAAAAH_IE/dl737s0_-ck/s640/DiamondBasketmout.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hNrjSmNSbW8/Vht1M5gVESI/AAAAAAAH_Ic/PWg3099H_Jg/s640/ommy%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2BDwS68G-hE/Vht2T6M3NDI/AAAAAAAH_JQ/aWPwK5KOTXE/s640/TUZO.jpg)
Inaweza ikawa siyo mara ya kwanza kwa msanii Diamond Platnumz kuchukua tuzo mbalimbali za kimataifa lakini kwa Vanessa Mdee inaweza ikawa moja kati ya historia nzuri kwake huku Ommy Dimpoz akiwa na kila sababu ya kufurahia tuzo yake ya kwanza ya kimataifa baada ya kujinyakulia tuzo maarufu za Afrimma.
Wasanii hao walijinyakulia tuzo hizo usiku...
10 years ago
Bongo503 Oct
BASATA lawapongeza Diamond, Msechu na Vanessa kwa kutajwa kuwania tuzo za AFRIMA 2014
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QwOioJR3DFk/VHw1NqaNa-I/AAAAAAAG0cw/2TE2MlijX34/s72-c/diamond21.jpg)
BASATA YAMPONGEZA MSANII NASSIB ABDUL AKA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO TATU ZA CHOAMVA14
![](http://1.bp.blogspot.com/-QwOioJR3DFk/VHw1NqaNa-I/AAAAAAAG0cw/2TE2MlijX34/s1600/diamond21.jpg)
Tuzo alizoshinda Diamond ni pamoja na Most Gifted East African Artist, Most Gifted Afro Pop video na ile ya Most Gifted New Comer.
Kushinda kwa Diamond katika tuzo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-efiSvsqbQz8/VC5uhHMrH_I/AAAAAAAGng0/NQtnyrglvck/s72-c/Diamond1.jpg)
BASATA YAMPONGEZA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO YA MSANII BORA WA MWEZI WA KITUO CHA MTV BASE
![](http://1.bp.blogspot.com/-efiSvsqbQz8/VC5uhHMrH_I/AAAAAAAGng0/NQtnyrglvck/s1600/Diamond1.jpg)
Aidha, Baraza linampongeza msanii huyu na wenzake Peter Msechu na Vannessa Mdee kwa kuchaguliwa kushindania tuzo mbalimbali katika tuzo za “All...
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Pluijm aiponda BDF
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amekasirishwa na mfumo wa kujilinda uliotumiwa na BDF XI kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Licha ya BDF kucheza kwa staili hiyo, Yanga ilifanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Amissi Tambwe.
Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Pluijm alisema timu yake ilipata shida sana kucheza nyuma ya mabeki watano wa BDF na kupelekea kutumia...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Stewart aiponda Azam FC
10 years ago
Habarileo01 Aug
Mwenyekiti Yanga aiponda Simba
MWENYEKITI wa Matawi ya Yanga Visiwani Zanzibar Said Ali Manzi amesema kuwa viwango wanavyoonesha wachezaji wa Simba ni vibovu tofauti na walivyotarajia.
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Dk Kigoda aiponda TCCIA Mbeya
11 years ago
Mwananchi28 Jan
JK aiponda ripoti ya mafuriko Dumila