Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND,VANNESA NA OMMY DIMPOZ WALIVYOIPEPERUSHA VYEMA BENDERA YA TANZANIA UGHAIBUNI, BASATA LAWAPONGEZA


 Diamond Platnumz akiwa na moja ya tuzo alizoshinda pamoja na mchekeshaji kutoka Nigeria Basketmouth.
Ommy DimpozTuzo tatu alizoshinda Diamond Platnumz.
Inaweza ikawa siyo mara ya kwanza kwa msanii Diamond Platnumz kuchukua tuzo mbalimbali za kimataifa lakini kwa Vanessa Mdee inaweza ikawa moja kati ya historia nzuri kwake huku Ommy Dimpoz akiwa na kila sababu ya kufurahia tuzo yake ya kwanza ya kimataifa baada ya kujinyakulia tuzo maarufu za Afrimma.
Wasanii hao walijinyakulia tuzo hizo usiku...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

BASATA lawapongeza Diamond, Msechu na Vanessa kwa kutajwa kuwania tuzo za AFRIMA 2014

Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA, limewapongeza Diamond Platnumz, Vanessa Mdee na Peter Msechu kwa kutajwa kuwania kwenye tuzo za All Africa Music Awards, AFRIMA 2014. Pia baraza hilo limempongeza Diamond kwa kuchagulikuwa kuwa msanii wa mwezi wa MTV Base. Haya ni maelezo yaliyotolewa na Katibu Mkuu Mtendaji wa BASATA, Godfrey Mngereza. Baraza la Sanaa […]

 

9 years ago

GPL

DIAMOND, OMMY DIMPOZ WAZINGUANA MAREKANI!

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Mwandishi Wetu MAPENZI yanatingisha dunia! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia nyota wawili wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kuzinguana laivu nchini Marekani, Risasi Jumamosi limevujishiwa na lina mchapo kamili. Chanzo makini kilichoshuhudia sakata hilo lililotokea hivi karibuni nchini Marekani kulipokuwa na hafla ya utoaji wa tuzo za Afrimma...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND NA OMMY DIMPOZ WAPAGAWISHA UK‏

Diamond akipandisha mzuka. Diamond na kundi lake la wasafi wakiwa mzigoni.…

 

9 years ago

GPL

DIAMOND, VANESSA, OMMY DIMPOZ WALIVYOIPAISHA TZ, AFRIMMA

Diamond Platnumz akiwa na moja ya tuzo alizoshinda pamoja na mchekeshaji kutoka Nigeria Basketmouth. Tuzo tatu alizoshinda Diamond Platnumz. Vanessa Mdee akiwa na tuzo. Hii ni orodha ya washindi. Best Male (South Africa) – AKA
Best Male…

 

9 years ago

Bongo5

Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz washinda tuzo za Afrimma

Diamond Platnumz ameibuka na ushindi mkubwa zaidi kwenye tuzo za Afrimma zilizofanyika Dallas, Marekani alfajiri ya leo kwa saa za Afrika Mashariki. Diamond ameshinda jumla ya tuzo tatu ikiwemo ya msanii wa mwaka Muimbaji huyo ameshinda tuzo tatu; Best Dance Video ya wimbo wake Nana, Best Male East Africa na Artiste Of The Year. “EA […]

 

10 years ago

Mwananchi

Veronica Samuel, mwanafunzi aliyepeperusha vyema bendera ya Tanzania Marekani

Wanafunzi wengi wa Tanzania wanashindwa kufikia mafanikio au malengo yao kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo kukosa mazingira rafiki lakini pia kutojiamini na kukosa moyo wa kujituma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani