Veronica Samuel, mwanafunzi aliyepeperusha vyema bendera ya Tanzania Marekani
Wanafunzi wengi wa Tanzania wanashindwa kufikia mafanikio au malengo yao kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo kukosa mazingira rafiki lakini pia kutojiamini na kukosa moyo wa kujituma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 Jun
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ywXdLN72sPs/Vht0X1CH6rI/AAAAAAAH_IE/dl737s0_-ck/s72-c/DiamondBasketmout.jpg)
DIAMOND,VANNESA NA OMMY DIMPOZ WALIVYOIPEPERUSHA VYEMA BENDERA YA TANZANIA UGHAIBUNI, BASATA LAWAPONGEZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ywXdLN72sPs/Vht0X1CH6rI/AAAAAAAH_IE/dl737s0_-ck/s640/DiamondBasketmout.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hNrjSmNSbW8/Vht1M5gVESI/AAAAAAAH_Ic/PWg3099H_Jg/s640/ommy%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2BDwS68G-hE/Vht2T6M3NDI/AAAAAAAH_JQ/aWPwK5KOTXE/s640/TUZO.jpg)
Inaweza ikawa siyo mara ya kwanza kwa msanii Diamond Platnumz kuchukua tuzo mbalimbali za kimataifa lakini kwa Vanessa Mdee inaweza ikawa moja kati ya historia nzuri kwake huku Ommy Dimpoz akiwa na kila sababu ya kufurahia tuzo yake ya kwanza ya kimataifa baada ya kujinyakulia tuzo maarufu za Afrimma.
Wasanii hao walijinyakulia tuzo hizo usiku...
10 years ago
Michuzibendera ya tanzania yatamba katika tamasha la afrifest marekani
![](http://1.bp.blogspot.com/-_Y0Qnar7jf8/Vb7TwEh-PfI/AAAAAAAALG8/aG31-a6S54o/s200/11817286_10207592531675894_6833285667737846255_n.jpg)
Jana, tarehe 1 Agosti, tamasha la Afrifest lilifanyika mjini Brooklyn Park, Minnesota.
Hili ni tamasha ambalo huandaliwa mara moja kwa mwaka na bodi ya Afrifest Foundation ambayo mimi ni mwenyekiti wake. ili kuwakutanisha wa-Afrika, watu wenye asili ya Afrika waishio Marekani ya Kaskazini, Kati, na Kusini, pamoja na Caribbean, na pia watu wa mataifa mengine. Lengo kubwa ni kufahamiana, kuelimisha, na kuuenzi mchango wa watu weusi duniani kote, katika nyanja mbali mbali.
Hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ayXIDLxu2OU/VF--hwJyQuI/AAAAAAAGwSU/QftEAQ2O0Tw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
JK aendelea vyema na matibabu anayopatiwa Marekani
![](http://4.bp.blogspot.com/-ayXIDLxu2OU/VF--hwJyQuI/AAAAAAAGwSU/QftEAQ2O0Tw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Habari kutoka hospitalini hapo ambazo Globu ya Jamii imepata zinasema Rais Kikwete anaendelea vyema na leo asubuhi alianza mazoezi ya kutembea, kuashiria kwamba mambo yote ni mswano. Tutaendelea kuwashirikisha kwa taarifa sahihi...
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Kura kwa bendera ya kikaburu Marekani
Wabunge wa Republican wanajaribu kuchelewesha kupigiwa kura sheria itakayoharamisha kupeperushwa kwa bendera hiyo
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ldSPFOsyudw/VGCw2kBtuAI/AAAAAAADMsM/Zb-oCmxP7tw/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
JK AENDELEA VYEMA NA MATIBABU ANAYOPATIWA HUKO MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ldSPFOsyudw/VGCw2kBtuAI/AAAAAAADMsM/Zb-oCmxP7tw/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
10 years ago
MichuziMISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MZEE SAMUEL LUANGISA NEW YORK NCHINI MAREKANI
Wanafamilia wakifuatilia misa.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-ft02UTdaDBc/VF9lnHsZrXI/AAAAAAAGwLs/dbY1C0LbhGg/s1600/D92A2468.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFANYIWA UPASUAJI WA TEZI DUME MAREKANI, HALI YAKE INAENDELEA VYEMA
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Dkt.Edward Shaeffer wa  hospitali ya Johns Hopkins (kushoto) na Daktari wa Rais Profesa Mohamed Janabi (kulia) muda mfupi baada ya kuwasili ili kufanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland Marekani Jumamosi asubuhi.Upasuaji huo uliochukua muda wa saa moja na nusu ulifanyika salama....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ft02UTdaDBc/VF9lnHsZrXI/AAAAAAAGwLs/dbY1C0LbhGg/s72-c/D92A2468.jpg)
NEWS ALERT: Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alfajiri ya jana, Jumamosi, Novemba 8, 2014, alifanyiwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani. Rais Kikwete amefanyiwa upasuaji huo baada ya madaktari waliomfanyia uchunguzi wa afya yake kujiridhisha kuwa Rais alikuwa anahitaji matibabu ya aina hiyo. Upasuaji huo uliofanyika alfajiri na kuchukua kiasi cha saa moja unusu, umefanyika salama na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania