JK aendelea vyema na matibabu anayopatiwa Marekani
![](http://4.bp.blogspot.com/-ayXIDLxu2OU/VF--hwJyQuI/AAAAAAAGwSU/QftEAQ2O0Tw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe Liberata Mulamula aliyekwenda kumjulia hali katika hospitali ya John Hopkins iliyopo Baltimore, Maryland, nchini Marekani, leo Jumapili, siku moja baada ya kufanyiwa upasuaji wa Tezi Dume.
Habari kutoka hospitalini hapo ambazo Globu ya Jamii imepata zinasema Rais Kikwete anaendelea vyema na leo asubuhi alianza mazoezi ya kutembea, kuashiria kwamba mambo yote ni mswano. Tutaendelea kuwashirikisha kwa taarifa sahihi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ldSPFOsyudw/VGCw2kBtuAI/AAAAAAADMsM/Zb-oCmxP7tw/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
JK AENDELEA VYEMA NA MATIBABU ANAYOPATIWA HUKO MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ldSPFOsyudw/VGCw2kBtuAI/AAAAAAADMsM/Zb-oCmxP7tw/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7AiVF8wG07iDZaf4AKarKVykjO8ruYRhi7omTUnOOmzJRMLb4-KW3nXfgnFb99D7aOkVL5BZF0txT1gh4Ff0f99/august.jpg?width=650)
AUGUST ALSINA AENDELEA NA MATIBABU BAADA YA KUANGUKA JUKWAANI NA KUZIMIA
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Veronica Samuel, mwanafunzi aliyepeperusha vyema bendera ya Tanzania Marekani
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-ft02UTdaDBc/VF9lnHsZrXI/AAAAAAAGwLs/dbY1C0LbhGg/s1600/D92A2468.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFANYIWA UPASUAJI WA TEZI DUME MAREKANI, HALI YAKE INAENDELEA VYEMA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ft02UTdaDBc/VF9lnHsZrXI/AAAAAAAGwLs/dbY1C0LbhGg/s72-c/D92A2468.jpg)
NEWS ALERT: Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-H1IrvXgIzOM/U8FlWOvgGcI/AAAAAAAF1mk/n6hxu082K_o/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Rais obama wa marekani aendelea kupiga misele mitaani
![](http://2.bp.blogspot.com/-H1IrvXgIzOM/U8FlWOvgGcI/AAAAAAAF1mk/n6hxu082K_o/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hu2zCI2A2aw/U8FlWKMbrSI/AAAAAAAF1mo/jWmomcse7ds/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ICR0rl3Jam0/U8FlkXF6JcI/AAAAAAAF1nE/Tv4MvYbEMM0/s1600/unnamed+(22).jpg)
Picha kwa hisani ya Pete Souza wa White House
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMRRd-EGBH3kCbNngqIZ2Vhgwu3X1*VbQxvQuaUVLhzusj2zuM9WukbnUWl4j1NwNQ0zZCpqN6BMEMTFmljBHkZO/IMG20141129WA0008.jpg)
JK AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI MARA BAADA YA KUTUA LEO AKITOKEA MAREKANI KWENYE MATIBABU
9 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: KIJANA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZO TANZANIA
Wakiongea kwa nyakati tofauti wananchi wa Luhanga, Utengule na Igurusi wamesema Mh. Mwang'ombe ni mkombozi wa Mbarali baada ya mateso ya CCM kwa mika mingi. Wamesema walimtuma Mh. Mwang'ombe Marekani...
9 years ago
VijimamboJUST IN: MWANA DIASPORA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZU MBIO ZA UBUNGE
Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze...