DIAMOND NA OMMY DIMPOZ WAPAGAWISHA UK
![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBCjUrBap486khgugx-E2Ta24HhWC*qC7jZpGEQ5oxdm2-fErVjV6iOy8tGyhPH-ZHRIvapuqxBNt0nXSiW2Vr*E/Diamondakipandishamzuka.jpg)
Diamond akipandisha mzuka. Diamond na kundi lake la wasafi wakiwa mzigoni.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/diamond-23.jpg)
DIAMOND, OMMY DIMPOZ WAZINGUANA MAREKANI!
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Mwandishi Wetu MAPENZI yanatingisha dunia! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia nyota wawili wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kuzinguana laivu nchini Marekani, Risasi Jumamosi limevujishiwa na lina mchapo kamili. Chanzo makini kilichoshuhudia sakata hilo lililotokea hivi karibuni nchini Marekani kulipokuwa na hafla ya utoaji wa tuzo za Afrimma...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8EfnQ63hh1Wznw9d4OpY9I1zrqLoZi3sTbbOpd9iHd-vcqOfObRtzWsxHBbzP8IWr8uc2ERuIfpsn2uwXuTkkvOsVENGgQ4/DiamondBasketmout.jpg?width=650)
DIAMOND, VANESSA, OMMY DIMPOZ WALIVYOIPAISHA TZ, AFRIMMA
Diamond Platnumz akiwa na moja ya tuzo alizoshinda pamoja na mchekeshaji kutoka Nigeria Basketmouth. Tuzo tatu alizoshinda Diamond Platnumz. Vanessa Mdee akiwa na tuzo. Hii ni orodha ya washindi. Best Male (South Africa) – AKA
Best Male…
10 years ago
GPLVALENTINE NDANI YA LAS VEGAS NA OMMY DIMPOZ FEB 13-15
TICKETS ON SALE NOW FOR $40 *** THEY WILL BE MORE AT THE DOOR $50 SEATED 3 -COURSE DINNER FIRST CLASS SERVICE RED CARPET PAPARAZZI DRESS READY FOR…
9 years ago
Bongo511 Oct
Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz washinda tuzo za Afrimma
Diamond Platnumz ameibuka na ushindi mkubwa zaidi kwenye tuzo za Afrimma zilizofanyika Dallas, Marekani alfajiri ya leo kwa saa za Afrika Mashariki. Diamond ameshinda jumla ya tuzo tatu ikiwemo ya msanii wa mwaka Muimbaji huyo ameshinda tuzo tatu; Best Dance Video ya wimbo wake Nana, Best Male East Africa na Artiste Of The Year. “EA […]
10 years ago
GPL28 Aug
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania