Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stewart agundua dosari Azam

Stewart-HallNA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall raia wa Uingereza, amegundua dosari ndani ya kikosi chake huku akieleza kuwa hajaridhishwa na ubora wa nyota wake kutokana na uwezo walioonyesha katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons.

Azam ambao wameanza mkakati wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kushindwa kuutetea msimu uliopita, juzi waliwakaribisha Prisons kwenye Uwanja wa Azam, Complex na kufanikiwa kuibuka...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Stewart aiponda Azam FC

Wakati aliyekuwa kocha mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akishangazwa na kiwango kidogo cha timu hiyo katika mchezo wao wa juzi wa Ngao ya Hisani, kiungo wa Taifa Stars, Frank Domayo amekiri kuzidiwa uwezo na Yanga.

 

10 years ago

GPL

Azam yamalizana na Stewart, atua na mpishi wake

Kocha mpya wa Azam, Muingereza Stewart Hall. Na Hans Mloli, Dar es Salaam
AZAM FC inatarajia kuingia mkataba na kocha wake mpya, Muingereza, Stewart Hall leo lakini kingine kipya ni kwamba kocha huyo atatua na mpishi wake maalum wa timu pamoja na benchi zima la ufundi kutoka nchini Uingereza. Taarifa zilizolifikia Championi Jumatatu kutoka kwa mmoja wa mabosi wa juu wa Azam, zimeeleza kuwa Stewart ameamua kufanya hivyo kwa...

 

11 years ago

GPL

BINTI AOLEWA, AGUNDUA NI MKE WA 9

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan MAKUBWA! Mke wa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Miinza Matoki (20), ameikimbia ndoa yake kisa kikielezwa kuwa ni mauzauza ya kichawi anayokutana nayo. Miinza Matoki aolewa kuwa mke wa tisa. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Minza ambaye ni mkazi wa Manyoni mkoani Singida alisema wazazi wake walimuozesha kwa ‘kibabu’ aliyemtaja kwa jina moja la Samson ambaye aliwahi kuoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kijana agundua mashine ya kubangua mbegu za michikichi

Kilio cha wabunifu hapa nchini kimekuwa kama wimbo uliokosa mchezaji, hali inayosababisha baadhi yao kukata tamaa na hata kuichukia Serikali kwa vile wanaona haiwasaidii.

 

11 years ago

Mwananchi

UTAFITI: Mtanzania agundua chanjo ya ndui ya kuku

>Tanzania imeingia katika vitabu vya kihistoria ya tiba baada ya Profesa Philemon Wambura kugundua chanjo ya ugonjwa wa ndui kwa kuku ambayo imetambuliwa kimataifa.

 

11 years ago

GPL

ALIYETEGEMEA RAFIKIYE KUJIFUNGUA MAPACHA WATANO AGUNDUA SI KWELI

Paul Servant aliyekuwa anategemea rafiki yake wa kike Barbara Bienvenue kumzalia watoto watano kwa mpigo. PAUL SERVAT wa Canada alikuwa anategemea rafiki yake wa kike Barbara Bienvenue kumzalia watoto watano kwa mpigo lakini akaambiwa na madaktari kwamba si kweli na kwamba mwanamke huyo hakuwa na mimba yoyote. Paul Servant akiwa…

 

9 years ago

Mtanzania

Stewart alia na mabeki, Cecafa

azam fcNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amesema safu ya ulinzi ya timu hiyo ilicheza vibaya dhidi ya Simba juzi na kusababisha matokeo ya sare ya mabao 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Licha ya sare hiyo, Azam imeendelea kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi ikiwa na pointi 26, Yanga ikifuatia kwa pointi 24, Mtibwa Sugar 23 na Simba ikijikusanyia pointi 22 katika nafasi ya nne.

Akizungumza mara baada ya...

 

11 years ago

GPL

Stewart apewa ulaji TFF

Mkurugenzi wa Ufundi wa Kampuni ya Symbion Power, Muingereza Stewart Hall. Omary Mdose na Said Ally
MKURUGENZI wa Ufundi wa Kampuni ya Symbion Power, Muingereza Stewart Hall, ameteuliwa kuwa mshauri wa timu ya taifa ya Vijana U-20 inayojiandaa na mechi ya kuwania kufuzu kucheza Kombe la Vijana  Afrika. Michuano hiyo itafanyika  nchini Senegal mwakani  na timu hiyo itaanza kwa kuvaana na Kenya kwenye mchezo...

 

10 years ago

BBC

African comedian replaces Jon Stewart

South African comedian Trevor Noah will replace Jon Stewart on The Daily Show, it is announced.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani