Stewart agundua dosari Azam
NA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall raia wa Uingereza, amegundua dosari ndani ya kikosi chake huku akieleza kuwa hajaridhishwa na ubora wa nyota wake kutokana na uwezo walioonyesha katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons.
Azam ambao wameanza mkakati wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kushindwa kuutetea msimu uliopita, juzi waliwakaribisha Prisons kwenye Uwanja wa Azam, Complex na kufanikiwa kuibuka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Stewart aiponda Azam FC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iVn57JuI46d47ZC53qi7by8gLk7ujCRCip0ViGS9xTO4iAlctWYzqbRoTYp3z57lJjRfLOLAKzvSnMc*OMypIed/jjjj.jpg)
Azam yamalizana na Stewart, atua na mpishi wake
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8EByzsl383NKuR1T7tNTTdYVU0NAoB3xFj17Wfdrh8IZnughb8HTqDJYABNYEpsiF*HQM0IhcPi6wuS2QoPE4O/NOMASANA.jpg)
BINTI AOLEWA, AGUNDUA NI MKE WA 9
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Kijana agundua mashine ya kubangua mbegu za michikichi
11 years ago
Mwananchi24 Jun
UTAFITI: Mtanzania agundua chanjo ya ndui ya kuku
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQLyxkauVZgazQK*6pMLIU26WCla9HzvoWnKq7dzBgSBJWwL6icCHUMRFcpvRNsrka2773MXokoBOXYGM8qeIcbs/servat620x349.jpg?width=650)
ALIYETEGEMEA RAFIKIYE KUJIFUNGUA MAPACHA WATANO AGUNDUA SI KWELI
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Stewart alia na mabeki, Cecafa
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amesema safu ya ulinzi ya timu hiyo ilicheza vibaya dhidi ya Simba juzi na kusababisha matokeo ya sare ya mabao 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Licha ya sare hiyo, Azam imeendelea kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi ikiwa na pointi 26, Yanga ikifuatia kwa pointi 24, Mtibwa Sugar 23 na Simba ikijikusanyia pointi 22 katika nafasi ya nne.
Akizungumza mara baada ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*Uz7JVBkVy-iQIdDLPxQb-Z3dvAFwPxx34cYbFSfXZl47NxEORwsCHzOgKoq2uQzjK-27pPjy6lctOLBMJ5mDjT/stewat.jpg?width=650)
Stewart apewa ulaji TFF
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82009000/jpg/_82009190_b4ejs_ziyaa_s-c.jpg)
African comedian replaces Jon Stewart