Kijana agundua mashine ya kubangua mbegu za michikichi
Kilio cha wabunifu hapa nchini kimekuwa kama wimbo uliokosa mchezaji, hali inayosababisha baadhi yao kukata tamaa na hata kuichukia Serikali kwa vile wanaona haiwasaidii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2818-2048x1365.jpg)
WIZARA YA KILIMO YAWAPONGEZA WATAFITI WA MBEGU ZA MICHIKICHI KWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MBEGU BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lQPrNDYOFLw/XrEFuHxb5WI/AAAAAAALpJk/txLnj0UxWbIEMrl11GDIKoxykrG33Z8yQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2818-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2783.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi uliozalishwa na Kituo cha utafiti TARI Kihinga mkoa wa Kigoma leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2804.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akikagua kitalu cha miche bora ya zao la michikichi katika Gereza Kwitanga mkoa wa Kigoma leo alipotembelea kuona utekelezaji wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q-v7qRaVYN0/XlDjpT3WbdI/AAAAAAALeyY/UJEV7DAAJ34-oNg7xR3U5worSRamCD-0ACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0092AA-1024x683.jpg)
UZALISHAJI MBEGU ZA MICHIKICHI UNARIDHISHA -WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-q-v7qRaVYN0/XlDjpT3WbdI/AAAAAAALeyY/UJEV7DAAJ34-oNg7xR3U5worSRamCD-0ACLcBGAsYHQ/s640/PMO_0092AA-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PMO_0092AA-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PMO_0039AA-1024x667.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua miche ya michikichi wakati alipotembelea kitalu cha mbegu bora zinazooteshwa katika kituo cha utafiti wa zao hilo cha Kihinga kilichopo wilayani Kigoma, Februari 21, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PMO_0077AA-1024x683.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Kiwanda cha kubangua korosho njiani
CHAMA cha Ushirika cha Wakulima wa Korosho Tandahimba – Newala (Tanecu) kinatarajia kuzindua maghala ya kuhifadhia korosho katikati ya mwezi huu ikiwa ni hatua za awali za ujenzi wa kiwanda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8EByzsl383NKuR1T7tNTTdYVU0NAoB3xFj17Wfdrh8IZnughb8HTqDJYABNYEpsiF*HQM0IhcPi6wuS2QoPE4O/NOMASANA.jpg)
BINTI AOLEWA, AGUNDUA NI MKE WA 9
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Stewart agundua dosari Azam
NA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall raia wa Uingereza, amegundua dosari ndani ya kikosi chake huku akieleza kuwa hajaridhishwa na ubora wa nyota wake kutokana na uwezo walioonyesha katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons.
Azam ambao wameanza mkakati wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kushindwa kuutetea msimu uliopita, juzi waliwakaribisha Prisons kwenye Uwanja wa Azam, Complex na kufanikiwa kuibuka...
10 years ago
Mwananchi14 May
Viwanda vya kubangua korosho kuanza kujengwa nchini
11 years ago
Mwananchi24 Jun
UTAFITI: Mtanzania agundua chanjo ya ndui ya kuku
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQLyxkauVZgazQK*6pMLIU26WCla9HzvoWnKq7dzBgSBJWwL6icCHUMRFcpvRNsrka2773MXokoBOXYGM8qeIcbs/servat620x349.jpg?width=650)
ALIYETEGEMEA RAFIKIYE KUJIFUNGUA MAPACHA WATANO AGUNDUA SI KWELI
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.