Viwanda vya kubangua korosho kuanza kujengwa nchini
Hatimaye, ujenzi wa viwanda vitatu vya kubangua korosho uliokuwa ukililiwa kwa muda mrefu unatarajiwa kuanza katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, ili kuliongezea thamani zao hili muhimu kwa uchumi wa Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMFUKO WA ZAO LA KOROSHO WATENGA BILIONI 6 KUJENGA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO.
Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mikataba baina ya mfuko huo na wataalamu washauri jana (Jumatano Mei 6, 2015), Mwenyekiti wa Bodi ya...
10 years ago
VijimamboVIWANDA VITATU VYA KOROSHO KUJENGWA WILAYA ZA MTWARA, TUNDURU NA MKURANGA
10 years ago
Dewji Blog06 May
Mfuko wa kuendeleza zao la Korosho watenga bilioni 6 kujenga viwanda vya kubangulia Korosho
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania, Mundhir Mundhir akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa viwanda vitatu vya korosho katika Wilaya za Mtwara, Tunduru na Mkuranga kati ya Mfuko Mfuko wa kuendeleza Zao la Korosho Nchini na wataalamu washauri wa kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi cha Jijni Dar es Salaam na Shule ya Elimu ya Biashara katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mtendaji...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Kiwanda cha kubangua korosho njiani
CHAMA cha Ushirika cha Wakulima wa Korosho Tandahimba – Newala (Tanecu) kinatarajia kuzindua maghala ya kuhifadhia korosho katikati ya mwezi huu ikiwa ni hatua za awali za ujenzi wa kiwanda...
5 years ago
MichuziVIWANDA VIWILI VYA MFANO VYA UCHENJUAJI DHAHABU VYAZINDULIWA NCHINI
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Mfanyabiashara kijana anayemiliki viwanda kwa kuuza korosho
NA HAMISA MAGANGA
VIJANA wengi wamekuwa wakikimbia kilimo vijijini wakidhani kuwa hakina faida yoyote.
Hawafahamu kuwa siku zote mwanzo ni mgumu kwani hata waliofanikiwa awali walikuwa maskini na hawakuwahi kufikiria kama watakuja kuwa matajiri wakubwa duniani.
Kilimo na biashara ni miongoni mwa vitu vilivyochangia utajiri wa watu wengi ndani na nje ya nchi. Hata siku moja huwezi kumiliki mabilioni ya fedha kwa kutegemea kuajiriwa.
Katika makala haya kutana na mfanyabiashara wa kwanza wa...
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Vifaa vya kupima Ebola kupitia joto la mwili vyawasili nchini, kuanza kutumika viwanja vya ndege
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kebwe Steven Kebwe akiongea na waandishi wa habari eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa vya kupima dalili za ugonjwa wa Ebola. Wengine ni Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Dharula na Maafa (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifani.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Sehemu ya vifaa vya kubaini hatua za awali za ugonjwa wa Ebola kwa kupima hali ya joto la mwili kwa wasafiri kutoka nje...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Sukari kutoka nje inavyoua viwanda vya nchini
>>TPC wataka itozwe kodi ya asilimia 100
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazoendelea Afrika kupitia sekta mbalimbali za kiuchumi vikiwemo viwanda.
Licha ya umuhimu wa viwanda hivyo bado kumekuwa hakuna sera madhubuti zinazolenga kuboresha na kuendeleza
viwanda vya ndani.
Sekta hiyo bado inakabiliwa na changamoto nyingi kiasi cha kuchelewesha malengo yaliokusudiwa ya kukuza uchumi na maisha bora kwa wananchi wake.
Sera zilizopo zinaruhusu kuuzwa kwa bidhaa mbalimbali...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pu0itxymJcM/U_Da3doJekI/AAAAAAAGAUA/YVesjeN0YUg/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
MSIMU WA KOROSHO KUANZA AGOSTI 20, 2014