Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALIYETEGEMEA RAFIKIYE KUJIFUNGUA MAPACHA WATANO AGUNDUA SI KWELI

Paul Servant aliyekuwa anategemea rafiki yake wa kike Barbara Bienvenue kumzalia watoto watano kwa mpigo. PAUL SERVAT wa Canada alikuwa anategemea rafiki yake wa kike Barbara Bienvenue kumzalia watoto watano kwa mpigo lakini akaambiwa na madaktari kwamba si kweli na kwamba mwanamke huyo hakuwa na mimba yoyote. Paul Servant akiwa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Stewart agundua dosari Azam

Stewart-HallNA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall raia wa Uingereza, amegundua dosari ndani ya kikosi chake huku akieleza kuwa hajaridhishwa na ubora wa nyota wake kutokana na uwezo walioonyesha katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons.

Azam ambao wameanza mkakati wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kushindwa kuutetea msimu uliopita, juzi waliwakaribisha Prisons kwenye Uwanja wa Azam, Complex na kufanikiwa kuibuka...

 

11 years ago

GPL

BINTI AOLEWA, AGUNDUA NI MKE WA 9

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan MAKUBWA! Mke wa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Miinza Matoki (20), ameikimbia ndoa yake kisa kikielezwa kuwa ni mauzauza ya kichawi anayokutana nayo. Miinza Matoki aolewa kuwa mke wa tisa. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Minza ambaye ni mkazi wa Manyoni mkoani Singida alisema wazazi wake walimuozesha kwa ‘kibabu’ aliyemtaja kwa jina moja la Samson ambaye aliwahi kuoa...

 

11 years ago

Mwananchi

UTAFITI: Mtanzania agundua chanjo ya ndui ya kuku

>Tanzania imeingia katika vitabu vya kihistoria ya tiba baada ya Profesa Philemon Wambura kugundua chanjo ya ugonjwa wa ndui kwa kuku ambayo imetambuliwa kimataifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kijana agundua mashine ya kubangua mbegu za michikichi

Kilio cha wabunifu hapa nchini kimekuwa kama wimbo uliokosa mchezaji, hali inayosababisha baadhi yao kukata tamaa na hata kuichukia Serikali kwa vile wanaona haiwasaidii.

 

10 years ago

Vijimambo

Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz ..nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama yangu anaumwa hamna...

 

10 years ago

Mwananchi

Unaposoma unaweza kutambua taarifa anazoandika mtunzi zilizo kweli na zisizo kweli?

Katika makala yangu yaliyochapishwa gazetini tarehe Julai 6, iliyokuwa na kichwa : “Fahamu namna ya kuboresha uwezo wako wa kusoma,” nilieleza kuwa sharti moja la kusoma vizuri ni kuwa na uwezo wa kusoma huku ukitathmini ukweli wa habari unayosoma. Kuna wasomaji kadhaa wameniomba nieleze jinsi mtu anavyoweza kutathmini anachokisoma.

 

10 years ago

GPL

LULU AHIFADHI NGUVU ZA KUJIFUNGUA

Stori: Hamida Hassan na Gabriel Ng’osha MASTAA wana mambo! Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ametoa kali ya aina yake kwa kusema kamwe hatumii nguvu nyingi kwenye mapenzi kwa sababu yanapoteza muda bila sababu za msingi bora nguvu zake azitunze hadi pale atakapokuwa akijifungua. Mtoto mzuri wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akipozi. Akimwaga cheche mbele ya mwanahabari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Umri wa mimba hadi kujifungua

MARA moja kwa kila mwezi tutakuwa tunamsikiliza mjamzito aliyejifungua hivi karibuni tukijaribu kujifunza kwake kuhusu ujauzito. Katika makala ya leo tunamsikiliza Mama Mariam kuanzia alipokuwa na ujauzitio wa miezi sita...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ugonjwa wa akili baada ya kujifungua

“HALI mbaya zaidi inayoweza kutokea baada ya mjamzito  kujifungua ni ugonjwa wa akili, ijapokuwa huo si ugonjwa wa kawaida sana,” linaeleza Jarida la Brazilian Journal of Medical. Mgonjwa anaweza kuona,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani