LULU AHIFADHI NGUVU ZA KUJIFUNGUA
![](http://api.ning.com:80/files/y39xTR5a6g5PlqqR-ZcFt2Hjja8O2SjFhDbD34C2oebLFRZX7M3grgsy0o0PKy3XKy52iyBcqXsJqWvhjtna4A3M3QlERbEn/lulu.jpg)
Stori: Hamida Hassan na Gabriel Ng’osha MASTAA wana mambo! Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ametoa kali ya aina yake kwa kusema kamwe hatumii nguvu nyingi kwenye mapenzi kwa sababu yanapoteza muda bila sababu za msingi bora nguvu zake azitunze hadi pale atakapokuwa akijifungua. Mtoto mzuri wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akipozi. Akimwaga cheche mbele ya mwanahabari...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Tuone kweli kama ni nguvu ya soda au nguvu ya jua
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-y6WGsuj73tU/VjJtlAn0yWI/AAAAAAAA31k/X7j7SqYXKz0/s72-c/TB-Joshua.jpg)
Haujatimia...Je Nguvu za Binadamu zinaweza Kuzuia Nguvu za Mungu...
![](http://1.bp.blogspot.com/-y6WGsuj73tU/VjJtlAn0yWI/AAAAAAAA31k/X7j7SqYXKz0/s640/TB-Joshua.jpg)
Naleta kwenu msaswali machache ili mpate kunisaidia. Katika tabiri nyingi zilizopata kutabiriwa ndani ya vitabu vitakatifu kama BIBLIA na vinginevyo zimekuwa zikitimia pasipi shaka.Siku za nyuma kidogo huyu nabii anaye itwa TB Joshua Kutoka Nigeria alimtabiria mheshikiwa Edward kuwa ndiye raisi ajaye sasa kila mtu anajua kilicho tokea ni kitugani muda mfupi ulio pita.
SASA NAULIZA HIVI, JE BINADAMU ANAYO MAMLAKA AU NGUVU YOYOTE KATIKA KUBATILISHA KILE KINACHO TAJWA KUWA NI UTABIRI AMBAO...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Kama chama changu kinataka kushinda, kishinde kwa nguvu ya hoja si kwa nguvu ya dola
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Zingatia haya wakati wa kujifungua
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Umri wa mimba hadi kujifungua
MARA moja kwa kila mwezi tutakuwa tunamsikiliza mjamzito aliyejifungua hivi karibuni tukijaribu kujifunza kwake kuhusu ujauzito. Katika makala ya leo tunamsikiliza Mama Mariam kuanzia alipokuwa na ujauzitio wa miezi sita...
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Ugonjwa wa akili baada ya kujifungua
“HALI mbaya zaidi inayoweza kutokea baada ya mjamzito kujifungua ni ugonjwa wa akili, ijapokuwa huo si ugonjwa wa kawaida sana,” linaeleza Jarida la Brazilian Journal of Medical. Mgonjwa anaweza kuona,...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe Mzito wa Lulu kwa Mama Yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...