Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stewart apewa ulaji TFF

Mkurugenzi wa Ufundi wa Kampuni ya Symbion Power, Muingereza Stewart Hall. Omary Mdose na Said Ally
MKURUGENZI wa Ufundi wa Kampuni ya Symbion Power, Muingereza Stewart Hall, ameteuliwa kuwa mshauri wa timu ya taifa ya Vijana U-20 inayojiandaa na mechi ya kuwania kufuzu kucheza Kombe la Vijana  Afrika. Michuano hiyo itafanyika  nchini Senegal mwakani  na timu hiyo itaanza kwa kuvaana na Kenya kwenye mchezo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Stewart aiponda Azam FC

Wakati aliyekuwa kocha mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akishangazwa na kiwango kidogo cha timu hiyo katika mchezo wao wa juzi wa Ngao ya Hisani, kiungo wa Taifa Stars, Frank Domayo amekiri kuzidiwa uwezo na Yanga.

 

9 years ago

Mtanzania

Stewart alia na mabeki, Cecafa

azam fcNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amesema safu ya ulinzi ya timu hiyo ilicheza vibaya dhidi ya Simba juzi na kusababisha matokeo ya sare ya mabao 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Licha ya sare hiyo, Azam imeendelea kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi ikiwa na pointi 26, Yanga ikifuatia kwa pointi 24, Mtibwa Sugar 23 na Simba ikijikusanyia pointi 22 katika nafasi ya nne.

Akizungumza mara baada ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Stewart agundua dosari Azam

Stewart-HallNA MSHAMU NGOJWIKE, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall raia wa Uingereza, amegundua dosari ndani ya kikosi chake huku akieleza kuwa hajaridhishwa na ubora wa nyota wake kutokana na uwezo walioonyesha katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons.

Azam ambao wameanza mkakati wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kushindwa kuutetea msimu uliopita, juzi waliwakaribisha Prisons kwenye Uwanja wa Azam, Complex na kufanikiwa kuibuka...

 

9 years ago

TheCitizen

Stewart Hall: We are now focusing on physical fitness

As fever hots up ahead of the Mainland Vodacom Premier League super clash between Simba Sports Club and Azam FC English coach Stewart Hall, has said he is now concentrating on his players’ fitness before tactically preparing them for their December 12 clash against Simba Sports Club.

 

10 years ago

BBC

African comedian replaces Jon Stewart

South African comedian Trevor Noah will replace Jon Stewart on The Daily Show, it is announced.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msanii Trevor Noah kumrithi John Stewart

Msanii mmoja wa michezo ya kuigiza na vichekesho kutoka Afrika Kusini Treva Noah, amealikwa kwenda nchini kumrithi John Stewart

 

9 years ago

BBC

VIDEO: 'Jon Stewart gave me lots of advice'

Trevor Noah has made his debut as the new host of "The Daily Show" in the US.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mchekeshaji Trevor Noah amrithi John Stewart

Msanii Trevor Noah alifungua ukurasa mpya usiku wa kuamkia leo alipoandaa shoo yake ya kwanza ya ''The Daily Show'' kwenye Comedy Central

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani