Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCCIA, wafanyabiashara watofautiana Mwanza

Mvutano mkali umeibuka kati ya Chemba ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mwanza (JMWM) kwenye kikao na Mkurugenzi wa jiji, Halfa Hida.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wafanyabiashara Mwanza wagoma

Jiji la Mwanza

Jiji la Mwanza

SITTA TUMMA NA PETER FABIAN, MWANZA

WAFANYABIASHARA jijini hapa wamegoma. Mgomo huo ulianza jana asubuhi baada ya wafanyabiashara hao kusitisha huduma zote kwa kile walichoeleza kuwa ni kutoridhishwa na gharama za ushuru wanazotozwa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

Mgomo huo unafanyika ikiwa ni siku moja kabla ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kufanya ziara ya kiserikali jijini hapa.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Jiji la Mwanza, Christopher Wambura,...

 

10 years ago

Habarileo

Jiji, wafanyabiashara Mwanza wazika tofauti

Hassan HidaUONGOZI wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza umesema kuwa umeumaliza mgomo wa takribani siku tatu ambao umekuwa ukifanywa na wafanyabiashara wa kati jijini hapa.

 

10 years ago

Vijimambo

WAFANYABIASHARA MWANZA WAFUNGA MADUGA KUMSAPOTI MWENYEKITI WAO MINJA


Baadhi ya maduka ya wafanyabiashara jijini Mwanza, yakiwa yamefungwa leo Jumatano Februari 11, 2015, wakidai ni njia ya 'kumsapoti' mwenyekiti wa taifa wa jumuiya wafanyabiashara, Johnson Minja, aliyepanda kizimbani kwa mara ya pili leo Jumatano Februari 11, 2015 kwenye mahakama moja mjini Dodoma. Minja anashtakiwa kwa kuchochea wafanyabiashara mjini Dodoma watende kosa la jinai madai aliyoyakanusha kortini.Minja, (Kulia), akiongozana na wakili wake, Godfrey Waonga wakati akiwasili...

 

10 years ago

GPL

WAFANYABIASHARA MWANZA WAGOMA, KISA MWENYEKITI WAO KUNYIMWA DHAMANA

Baadhi ya maduka katika mitaa mbalimbali mkoani Mwanza yakiwa yamefungwa huku wananchi wakihangaika kutafuta huduma hiyo. Asilimia kubwa ya maduka yamefungwa. ...Hali ilikuwa hivi katika mitaa mbalimbali jijini Mwanza. Na Johnson James, GPL /  Mwanza WAFANYABIASHARA wanaofanya shughuli…

 

11 years ago

Mwananchi

TCCIA yatoa ushauri

Rachel Chibwete, Mwananchi

 

11 years ago

Mwananchi

Wanayanga watofautiana kwa Chuji

Dar es Salaam. Sakata la kiungo Athuman Idd ‘Chuji’ limeendelea kuchukua sura mpya Yanga baada ya baadhi ya  wazee wa klabu hiyo kupinga kuachwa kwake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msimamo kuhusu Iran watofautiana

Wajumbe wa mazungumzo ya mpango nyuklia wa Iran wanaokutana nchini Switzerland kutafuta suluhu ya pamoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani