TCCIA, wafanyabiashara watofautiana Mwanza
Mvutano mkali umeibuka kati ya Chemba ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) na viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mwanza (JMWM) kwenye kikao na Mkurugenzi wa jiji, Halfa Hida.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Wafanyabiashara Mwanza wagoma
![Jiji la Mwanza](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/jiji-la-mwanza.jpg)
Jiji la Mwanza
SITTA TUMMA NA PETER FABIAN, MWANZA
WAFANYABIASHARA jijini hapa wamegoma. Mgomo huo ulianza jana asubuhi baada ya wafanyabiashara hao kusitisha huduma zote kwa kile walichoeleza kuwa ni kutoridhishwa na gharama za ushuru wanazotozwa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza.
Mgomo huo unafanyika ikiwa ni siku moja kabla ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kufanya ziara ya kiserikali jijini hapa.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Jiji la Mwanza, Christopher Wambura,...
10 years ago
Habarileo24 Aug
Jiji, wafanyabiashara Mwanza wazika tofauti
UONGOZI wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza umesema kuwa umeumaliza mgomo wa takribani siku tatu ambao umekuwa ukifanywa na wafanyabiashara wa kati jijini hapa.
10 years ago
VijimamboWAFANYABIASHARA MWANZA WAFUNGA MADUGA KUMSAPOTI MWENYEKITI WAO MINJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-hJJLz0ayYbw/VNtygSEMUuI/AAAAAAAAPwY/tyr5nWdUc9A/s640/MWENYEKITI%2BMINJA%2B1.jpg)
10 years ago
GPLWAFANYABIASHARA MWANZA WAGOMA, KISA MWENYEKITI WAO KUNYIMWA DHAMANA
11 years ago
Mwananchi23 Jul
11 years ago
Mwananchi29 May
Wanayanga watofautiana kwa Chuji
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Msimamo kuhusu Iran watofautiana