Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanayanga watofautiana kwa Chuji

Dar es Salaam. Sakata la kiungo Athuman Idd ‘Chuji’ limeendelea kuchukua sura mpya Yanga baada ya baadhi ya  wazee wa klabu hiyo kupinga kuachwa kwake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wanayanga kuandamana

>Klabu ya Yanga imeomba kibali cha kufanya maandamano hadi ikulu kuushinikiza uongozi wa mkoa wa Dar es Salaam kutoa majibu ya maombi yao heka 11 kwa ajili ya upanuzi wa Uwanja wa Kaunda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chuji aiangukia Yanga

SIKU chache baada ya kiungo nyota wa Klabu ya Yanga, Athuman Idd ‘Chuji’ kusimamishwa kwa utovu wa nidhamu kwa muda usiojulikana, ameandika barua kwa uongozi wake kuomba radhi. Mwishoni mwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Chuji asamehewa Yanga

Uongozi wa Yanga umemrejesha kundini, kiungo Athuman Iddi ‘Chuji’ aliyekuwa akitumikia adhabu ya kusimamishwa kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu.

 

11 years ago

Mwananchi

Chuji atua Azam

Hata hivyo, kiungo huyo mwenyeji wa Dodoma  ameibukia Azam FC na taarifa za ndani zinasema  klabu hiyo imempa mkataba mfupi wa miezi sita ili kumwangalia kwanza mwenendo wake na kama itajiridhisha  watamwongezea.

 

11 years ago

GPL

Chuji asimamishwa Yanga

Athumani Idd ‘Chuji’ Ally Kamwe na Hans Mloli
HALI si shwari kwa baadhi ya wachezaji wa Yanga baada ya juzi Jumamosi uongozi wa timu hiyo kuwapa barua za onyo kuhusu utovu wao wa nidhamu na mambo mengine klabuni hapo. Imeelezwa kuwa, juzi kiungo wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’, alipewa barua ya kusimamishwa klabuni hapo kwa siku zisizojulikana huku nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’,...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM watofautiana Serikali mbili

Baadhi ya wabunge wa CCM ambao ni wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wamepinga msimamo wa chama hicho unaowataka kutetea muundo wa Serikali mbili katika mijadala ya Bunge hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakaazi watofautiana na jeshi Maiduguri

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limefaulu kusambaratisha shambulio la pili la Boko Haram licha ya wakaazi kupinga hilo

 

11 years ago

Mwananchi

Majaji watofautiana maombi ya AMI

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, majaji watatu wa Mahakama ya Rufani, wameshindwa kufikia uamuzi wa pamoja katika kesi ya malipo ya Sh5 bilioni inayowahusu zaidi ya wafanyakazi 110 wa zamani wa Kampuni ya AMI Tanzania Limited.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msimamo kuhusu Iran watofautiana

Wajumbe wa mazungumzo ya mpango nyuklia wa Iran wanaokutana nchini Switzerland kutafuta suluhu ya pamoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani