Majaji watofautiana maombi ya AMI
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, majaji watatu wa Mahakama ya Rufani, wameshindwa kufikia uamuzi wa pamoja katika kesi ya malipo ya Sh5 bilioni inayowahusu zaidi ya wafanyakazi 110 wa zamani wa Kampuni ya AMI Tanzania Limited.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Jan
Majaji wapishana uamuzi kesi ya Kampuni ya AMI Tanzania
MAJAJI watatu wa Mahakama ya Rufani wametofautiana katika kutoa uamuzi wa kesi ya malipo ya Sh bilioni tano inayowahusu zaidi ya wafanyakazi 110 wa Kampuni ya AMI Tanzania.
11 years ago
Mwananchi19 Feb
CCM watofautiana Serikali mbili
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Msimamo kuhusu Iran watofautiana
11 years ago
Mwananchi29 May
Wanayanga watofautiana kwa Chuji
10 years ago
Habarileo24 Jun
Waziri Ghasia, Kafulila watofautiana
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia jana walitofautiana bungeni kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa fedha zinazomkabili Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Hadija Nyembo.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
TCCIA, wafanyabiashara watofautiana Mwanza
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Wakaazi watofautiana na jeshi Maiduguri
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Upinzani, Tume watofautiana uandikishaji Zanzibar
11 years ago
KwanzaJamii11 Aug
TIBAIJUKA, NDUNGULILE WATOFAUTIANA KUHUSU KIGAMBONI