Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msimamo kuhusu Iran watofautiana

Wajumbe wa mazungumzo ya mpango nyuklia wa Iran wanaokutana nchini Switzerland kutafuta suluhu ya pamoja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Iran:Marekani yapinga msimamo wa Israel

Rais Obama amepuuzilia onyo alilotoa waziri mkuu wa Israel kuhusu mpango wa Iran wa Nuclear ndani ya bunge la Marekani.

 

11 years ago

KwanzaJamii

TIBAIJUKA, NDUNGULILE WATOFAUTIANA KUHUSU KIGAMBONI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ameendelea kutofautiana na Mbunge wa Kigamboni (CCM), Dk. Faustine Ndugulile, kuhusiana na ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni. Hali hiyo ilijitokeza jana jijini Dar es Salaam walipokutana katika mkutano uliohusisha viongozi mbalimbali wa jimbo hilo, wakiwamo madiwani na wenyeviti wa serikali za mitaa. Profesa Tibaijuka alimtaka Dk. Ndungulile kuacha kuwapotosha wananchi kuwa mradi mpya wa Kigamboni haupo, badala yake...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi, wajumbe watofautiana kuhusu mzozo wa kanuni

Hatua ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupiga kelele na kulivunja jana wakipinga uvunjaji wa kanuni, imepokewa kwa hisia tofauti na baadhi ya wasomi na wanaharakati, huku baadhi wakisema ilikuwa ni sahihi na wengine wakipinga.

 

11 years ago

Mwananchi

Nchemba, Polepole watofautiana kuhusu gharama za Shirikisho

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema vyanzo vya mapato vilivyopendekezwa katika Rasimu ya Katiba, havitoshi kuendesha Serikali ya shirikisho.

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron kutoa msimamo kuhusu wahamiaji

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron anatarajiwa kutangaza mipango baadae ya kuongeza idadi ya Wakimbizi kuingia nchini humo

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA kuanika msimamo kuhusu katiba

MWENYEKITI wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, amepanga kuweka msimamo wa baraza hilo kuhusu katiba kesho. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Heche alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Bulaya: Sitabadili msimamo kuhusu kura ya siri

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Esther Bulaya amesema hatabadili msimamo wake wa kutaka kura ya siri katika kufanya uamuzi wa kupitisha vifungu vya Rasimu ya Katiba

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume wana msimamo gani kuhusu uzazi?

Wanaume nchini Tanzania wana uelewa kuhusu uzazi wa mpango?

 

9 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba: Msimamo wangu kuhusu Katiba palepale

Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba amesema msimamo wake kuhusu kuheshimiwa kwa maoni ya wananchi katika mchakato wa kupata Katiba Mpya upo palepale, kwamba ni lazima Taifa lisikilize wananchi wanataka nini ili kufikia mwafaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani