Msimamo kuhusu Iran watofautiana
Wajumbe wa mazungumzo ya mpango nyuklia wa Iran wanaokutana nchini Switzerland kutafuta suluhu ya pamoja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Iran:Marekani yapinga msimamo wa Israel
Rais Obama amepuuzilia onyo alilotoa waziri mkuu wa Israel kuhusu mpango wa Iran wa Nuclear ndani ya bunge la Marekani.
11 years ago
KwanzaJamii11 Aug
TIBAIJUKA, NDUNGULILE WATOFAUTIANA KUHUSU KIGAMBONI
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ameendelea kutofautiana na Mbunge wa Kigamboni (CCM), Dk. Faustine Ndugulile, kuhusiana na ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni.
Hali hiyo ilijitokeza jana jijini Dar es Salaam walipokutana katika mkutano uliohusisha viongozi mbalimbali wa jimbo hilo, wakiwamo madiwani na wenyeviti wa serikali za mitaa.
Profesa Tibaijuka alimtaka Dk. Ndungulile kuacha kuwapotosha wananchi kuwa mradi mpya wa Kigamboni haupo, badala yake...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Wasomi, wajumbe watofautiana kuhusu mzozo wa kanuni
Hatua ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupiga kelele na kulivunja jana wakipinga uvunjaji wa kanuni, imepokewa kwa hisia tofauti na baadhi ya wasomi na wanaharakati, huku baadhi wakisema ilikuwa ni sahihi na wengine wakipinga.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Nchemba, Polepole watofautiana kuhusu gharama za Shirikisho
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema vyanzo vya mapato vilivyopendekezwa katika Rasimu ya Katiba, havitoshi kuendesha Serikali ya shirikisho.
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Cameron kutoa msimamo kuhusu wahamiaji
Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron anatarajiwa kutangaza mipango baadae ya kuongeza idadi ya Wakimbizi kuingia nchini humo
11 years ago
Tanzania Daima11 May
BAVICHA kuanika msimamo kuhusu katiba
MWENYEKITI wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, amepanga kuweka msimamo wa baraza hilo kuhusu katiba kesho. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Heche alisema...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Bulaya: Sitabadili msimamo kuhusu kura ya siri
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Esther Bulaya amesema hatabadili msimamo wake wa kutaka kura ya siri katika kufanya uamuzi wa kupitisha vifungu vya Rasimu ya Katiba
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Jaji Warioba: Msimamo wangu kuhusu Katiba palepale
Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba amesema msimamo wake kuhusu kuheshimiwa kwa maoni ya wananchi katika mchakato wa kupata Katiba Mpya upo palepale, kwamba ni lazima Taifa lisikilize wananchi wanataka nini ili kufikia mwafaka.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania