BAVICHA kuanika msimamo kuhusu katiba
MWENYEKITI wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, amepanga kuweka msimamo wa baraza hilo kuhusu katiba kesho. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Heche alisema...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Jaji Warioba: Msimamo wangu kuhusu Katiba palepale
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--Cuk5nv3Shw/U9jj77YeuGI/AAAAAAAF73Y/vLp-fPNi7P8/s72-c/zitto.jpg)
MSIMAMO WA MH. ZITTO KABWE KUHUSU MCHAKATO WA KUANDIKA KATIBA MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/--Cuk5nv3Shw/U9jj77YeuGI/AAAAAAAF73Y/vLp-fPNi7P8/s1600/zitto.jpg)
Kwanza, Mimi sijawahi kuwa UKAWA wala kundi lolote lile katika Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa kundi linalotaka maridhiano. Msimamo wangu kuhusu Muungano ni Serikali Tatu Zilizoboreshwa (S3z) ili kuwa na Muungano imara usio tegemezi wala egemezi kwa...
11 years ago
Zitto Kabwe, MB30 Jul
MSIMAMO WA NDUGU ZITTO KABWE KUHUSU MCHAKATO WA KUANDIKA KATIBA MPYA
MSIMAMO WA NDUGU ZITTO KABWE KUHUSU MCHAKATO WA KUANDIKA KATIBA MPYA
Jana tarehe 29 Julai, 2014 nimefanya mahojiano katika kipindi cha PowerBreakFast kinachorushwa na Clouds FM. Baadhi ya vyombo vya habari vimeandika mahojiano yale. Napenda nitoe ufafanuzi kidogo kuhusu msimamo wangu kuhusu mchakato wa Katiba.
Kwanza, Mimi sijawahi kuwa UKAWA wala kundi lolote lile katika Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa kundi linalotaka maridhiano. Msimamo wangu kuhusu Muungano ni Serikali Tatu...
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
CHADEMA kuanika uvunjifu Katiba Zanzibar
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kitaipitia kipengele kwa kipengele Katiba iliyopendekezwa na Bunge Maluum ili kuichanganua na kuonesha ukweli kwa wananchi jinsi Katiba ya Zanzibar ilivyovunjwa. Kauli hiyo...
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/78/Chadema_bendera.jpg)
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
BAVICHA: Watanzania kataeni Katiba pendekezwa mwakani
BARAZA la Vijana la Taifa la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limewataka Watanzania kuunganisha nguvu pamoja kuikataa Katiba Mpya iliyopendekezwa, kwani haina maslahi ya wananchi badala yake imewapendelea watuhumiwa...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Bavicha kutumia chopa kupinga Katiba mikoani
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Msimamo kuhusu Iran watofautiana
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Cameron kutoa msimamo kuhusu wahamiaji