CHADEMA kuanika uvunjifu Katiba Zanzibar
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kitaipitia kipengele kwa kipengele Katiba iliyopendekezwa na Bunge Maluum ili kuichanganua na kuonesha ukweli kwa wananchi jinsi Katiba ya Zanzibar ilivyovunjwa. Kauli hiyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 May
BAVICHA kuanika msimamo kuhusu katiba
MWENYEKITI wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, amepanga kuweka msimamo wa baraza hilo kuhusu katiba kesho. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Heche alisema...
11 years ago
Michuzi27 Mar
Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-dzQg45BIEYc/VVnlGoazqeI/AAAAAAADnl0/Upn4sXg0aQ8/s72-c/unnamed.jpg)
KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) WATOA ELIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA WANANCHI ZANZIBAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dzQg45BIEYc/VVnlGoazqeI/AAAAAAADnl0/Upn4sXg0aQ8/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y_X_hMwIXIs/VVnkywDaS0I/AAAAAAADnlU/6oEYq3pzs7Y/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-G1YcW7fKNKg/VVnk5gN8cAI/AAAAAAADnlc/LJ5sHj7BTsc/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--tfneBVi_b0/VVnk95eKxYI/AAAAAAADnlk/xgYztjPXXuE/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDIQt9VMM6I/VVnlCH1Z39I/AAAAAAADnls/1YtXnjAfndI/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
CAG kuanika ufisadi Bukoba
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, amesema wiki ijayo atakwenda mkoani Kagera kuweka wazi yaliyobainika katika ripoti ya ukaguzi wa tuhuma za ufisadi zinazoikabili Halmashauri...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/faf8*WCrWjV-hBH7hwjtBwXlmYujizQjvTAjpn3u4lZU2ZBNpWYl-LrcBgPMEr5LonDMsh-SM5rbkA*CV-krkS2Bo5KsiKdv/davina.jpg)
DAVINA ATAJA SABABU KUANIKA UPAJA!
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Simba kuanika silaha zake leo
9 years ago
Bongo Movies09 Nov
Davina Ataja Sababu Kuanika Upaja!
MWIGIZAJI ambaye inaaminika kwa muda mrefu hajawahi kuvaa nguo yenye mpasuo kiasi cha mapaja yake kuonekana, Halima Yahya ‘Davina’, amefunguka kuwa kwa mara ya kwanza Jumapili iliyopita alilazimika kuvaa nguo iliyoonesha sehemu ya paja lake kutokana na mazingira ya pati ya mwigizaji mwenzake, Wema Sepetu ‘Madam’.
Akielezea vazi hilo alilolitinga katika sherehe ya kuzaliwa ya Madam, Davina alisema kwa mazingira ya pati hiyo yenye hadhi ya aina yake, alilazimika kuvaa nguo hiyo ili kuendana...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9LIefLb0844/VNi7pA6wPQI/AAAAAAACzl8/HBtBgXfNSVM/s72-c/kilahiro.jpg)
Kilahiro kuanika mpya Tamasha la Pasaka
![](http://4.bp.blogspot.com/-9LIefLb0844/VNi7pA6wPQI/AAAAAAACzl8/HBtBgXfNSVM/s1600/kilahiro.jpg)
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Kampuni ‘kuanika’ silaha Julai 14 Dar