Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bulaya: Sitabadili msimamo kuhusu kura ya siri

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Esther Bulaya amesema hatabadili msimamo wake wa kutaka kura ya siri katika kufanya uamuzi wa kupitisha vifungu vya Rasimu ya Katiba

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lembeli ashinda kura za maoni Chadema, Bulaya almanusura

>Wabunge wawili waliohama CCM hivi karibuni, James Lembeli na Ester Bulaya wamepitishwa katika kura za maoni kuwania ubunge kupitia chama chao kipya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msimamo kuhusu Iran watofautiana

Wajumbe wa mazungumzo ya mpango nyuklia wa Iran wanaokutana nchini Switzerland kutafuta suluhu ya pamoja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA kuanika msimamo kuhusu katiba

MWENYEKITI wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), John Heche, amepanga kuweka msimamo wa baraza hilo kuhusu katiba kesho. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Heche alisema...

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron kutoa msimamo kuhusu wahamiaji

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron anatarajiwa kutangaza mipango baadae ya kuongeza idadi ya Wakimbizi kuingia nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume wana msimamo gani kuhusu uzazi?

Wanaume nchini Tanzania wana uelewa kuhusu uzazi wa mpango?

 

9 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba: Msimamo wangu kuhusu Katiba palepale

Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba amesema msimamo wake kuhusu kuheshimiwa kwa maoni ya wananchi katika mchakato wa kupata Katiba Mpya upo palepale, kwamba ni lazima Taifa lisikilize wananchi wanataka nini ili kufikia mwafaka.

 

11 years ago

Michuzi

MSIMAMO WA MH. ZITTO KABWE KUHUSU MCHAKATO WA KUANDIKA KATIBA MPYA

Jana tarehe 29 Julai, 2014 nimefanya mahojiano katika kipindi cha PowerBreakFast kinachorushwa na Clouds FM. Baadhi ya vyombo vya habari vimeandika mahojiano yale. Napenda nitoe ufafanuzi kidogo kuhusu msimamo wangu kuhusu mchakato wa Katiba.
Kwanza, Mimi sijawahi kuwa UKAWA wala kundi lolote lile katika Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa kundi linalotaka maridhiano. Msimamo wangu kuhusu Muungano ni Serikali Tatu Zilizoboreshwa (S3z) ili kuwa na Muungano imara usio tegemezi wala egemezi kwa...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MAGHEMBE ATOA MSIMAMO WA TANZANIA KUHUSU MTO NILE

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe akiwa na mgeni wake, Balozi, Dk. Yassir Mohammed Ali, ofisini kwake pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Kuratibu Programu Ya Maji, Joseph Kakunda. Waziri wa Maji akiagana na mgeni wake, Balozi, Dk. Yassir Mohammed Ali.
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe jana alikutana na Balozi wa Sudan Nchini, Dk. Yassir Mohammed Ali, ofisini kwake kwa ajili ya mazungumzo mafupi, hususani matumizi ya maji ya Mto Nile.
Waziri Maghembe alisema Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani