Upinzani, Tume watofautiana uandikishaji Zanzibar
Tume yatoa siku mbili kila kituo kukamilisha kazi ya kuandikisha wapiga kura, wapinzani wadai muda huo hautoshi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Gu0ReCRX5E4/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Tume yavuka lengo la uandikishaji Makambako
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_RprASZHN6Q/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aIcklb4dpzE/VXmSnsi6sWI/AAAAAAAHesM/pduYX42oGWU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-06-11%2Bat%2B4.51.34%2BPM.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PwZ-S63TeHc/VZU-n9Zcu6I/AAAAAAAHmb8/34tCN6OaXWg/s72-c/img_1741.jpg)
TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA KUANZA UANDIKISHAJI BVR DAR ES SALAAM NA PWANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-PwZ-S63TeHc/VZU-n9Zcu6I/AAAAAAAHmb8/34tCN6OaXWg/s400/img_1741.jpg)
Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam.
Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa vifaa vya uboreshaji kutoka mikoani ambavyo vilipelekwa ili...
10 years ago
Vijimambo9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Nyanduga akitoa tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Ushauri wa THBUB kwa Tume ya Uchaguzi Zbar.doc
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mjqtNw2FrJc/VbjFQwUSKcI/AAAAAAAAiq0/okZlr5k75qw/s72-c/1.jpg)
CCM MKOA WA DAR ES SALAAM WAITAKA TUME KUONGEZA VIFAA PAMOJA NA RASILIMALI WATU ILI KURAHISISHA ZOEZI LA UANDIKISHAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-mjqtNw2FrJc/VbjFQwUSKcI/AAAAAAAAiq0/okZlr5k75qw/s640/1.jpg)
Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Dar es Salaam kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuongeza,vifaa na rasilimali watu ili wananchi wengi waweze kujiandikisha kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura bila usumbufu.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Bw. Juma Simba Gadafi alisema...
10 years ago
Habarileo12 Aug
UN wasifia uandikishaji wa BVR Zanzibar
OFISA Mwandamizi kutoka Umoja wa Mataifa (UN) anayeshughulikia Kitengo cha Uchaguzi Mkuu, Hamida Kibwana amesema uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo wa BVR, umefanyika vizuri huku vyama vyote vikionesha kuridhishwa nao.