UN wasifia uandikishaji wa BVR Zanzibar
OFISA Mwandamizi kutoka Umoja wa Mataifa (UN) anayeshughulikia Kitengo cha Uchaguzi Mkuu, Hamida Kibwana amesema uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo wa BVR, umefanyika vizuri huku vyama vyote vikionesha kuridhishwa nao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Uandikishaji BVR Dar majanga
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Hesabu za uandikishaji BVR zinagoma
10 years ago
Mwananchi19 Dec
BVR ‘zachemsha’ uandikishaji Dar
10 years ago
Mwananchi26 Jun
NEC itathmini uandikishaji wa BVR
10 years ago
Habarileo18 Jul
Arusha wavuka lengo uandikishaji BVR
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza siku mbili za uandikishwaji katika Halmashauri ya Jiji la Arusha na kulazimika kazi hiyo kumalizika jana badala ya kuisha Julai 16 mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Uandikishaji BVR Dar kuanza kesho
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Inawezekana kuzikabili kero za uandikishaji BVR
10 years ago
Mwananchi22 Feb
UANDIKISHAJI: Njombe hawana taarifa za BVR
10 years ago
Habarileo20 Feb
160 Tacceo kuangalia uandikishaji BVR
MTANDAO wa Asasi za Kiraia wa Kuangalia Chaguzi Tanzania (Tacceo) unatarajia kutuma waangalizi 160 katika wilaya zote nchini ambao wataangalia uandikishaji wa wapiga kura kwa kutumia Mfumo mpya wa Teknolojia ya Alama (Biometric Voters Registration- BVR).