Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BVR ‘zachemsha’ uandikishaji Dar

Uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa BVR unaoendelea katika kata tatu za Jiji la Dar es Salaam umeanza kusuasua kutokana na matatizo ya watendaji na mashine zinazotumika kwenye uandikishaji huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR Dar majanga

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) itatakiwa kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha inatimiza mipango yake kuelekea katika Uchaguzi Mkuu kutokana na ugumu unaoweza kutokea katika kukamilisha uandikishaji wapigakura katika jiji la Dar es Salaam na ugawaji wa mipaka ya majimbo nchini.

 

10 years ago

GPL

UANDIKISHAJI BVR WAANZA LEO DAR

Baadhi ya wakazi wa Kijitonyama wakiwa katika Shule ya Msingi Sinza-Maalum kwenye foleni tayari kwa kujiandikisha. Wananchi wakiwa kwenye foleni katika zoezi la kujiandikisha.…

 

10 years ago

Dewji Blog

DAR yakamilisha rasmi uandikishaji BVR

DSC_0647

Mkurugenzi Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhan.

Tume ya Taifa  ya Uchaguzi imetangaza kukamilika kwa zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura katika Daftari la Kudumu kwa kutumia mfumo wa BVR Mkoani Dar es Salaam. Kwa mujibu wa  taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Ramadhani zoezi hilo limefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kuandikisha wapiga kura 2,845,256 sawa na 101.2%

DAR YAKAMILISHA RASMI UANDIKISHAJI 1

DAR YAKAMILISHA RASMI UANDIKISHAJI  2

DAR YAKAMILISHA RASMI UANDIKISHAJI  3

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR Dar kuanza kesho

>Uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia Biometric Voters Registration (BVR) Dar es Salaam, unaanza rasmi kesho, huku mashine zaidi ya 4,000 zikitarajia kutumika kukamilisha kazi hiyo katika vituo 1,700.

 

10 years ago

Mwananchi

Muda wa uandikishaji BVR Dar waongezwa

Tume ya Uchaguzi (NEC) leo imetangaza kuongeza siku nne zaidi za uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia teknolojia ya BVR baada ya idadi kubwa ya wakazi wa Dar es Salaam kuitikia wito wa zoezi hilo.

 

10 years ago

GPL

UANDIKISHAJI BVR DAR WATAWALIWA NA CHANGAMOTO

Mwandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura (katikati) akisoma jina la mwananchi aliyehitajika kwenda kujiandikisha. Wananchi wakisubiri kujiandikisha eneo la kituo cha Kijitonyama-Mpakani B. …

 

10 years ago

Habarileo

Uandikishaji BVR Dar wavuka lengo

LICHA ya kuanza kwa kusuasua, kazi ya uandikishaji wapigakura katika mfumo wa kielektroniki wa BVR katika Jiji la Dar es Salaam, imepata mafanikio na kuvuka lengo la uandikishaji lililokuwa limewekwa.

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA KUANZA UANDIKISHAJI BVR DAR ES SALAAM NA PWANI

Na Mwandishi-Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia  Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam. 
Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa vifaa vya uboreshaji kutoka mikoani ambavyo vilipelekwa ili...

 

10 years ago

GPL

NEC: UANDIKISHAJI BVR DAR KUANZA JULAI 16-25, PWANI JULAI 7-20

Na Mwandishi -Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam. Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani