DAR yakamilisha rasmi uandikishaji BVR
Mkurugenzi Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhan.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kukamilika kwa zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura katika Daftari la Kudumu kwa kutumia mfumo wa BVR Mkoani Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Ramadhani zoezi hilo limefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kuandikisha wapiga kura 2,845,256 sawa na 101.2%
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Uandikishaji BVR Dar majanga
10 years ago
Mwananchi19 Dec
BVR ‘zachemsha’ uandikishaji Dar
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Uandikishaji BVR Dar kuanza kesho
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Muda wa uandikishaji BVR Dar waongezwa
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/1.Mwandikishaji-wa-daftari-la-majina-ya-wapiga-kurakatikati-akisoma-jina-la-mwananchi-aliyehitajika-kwenda-kujiandikisha..jpg)
UANDIKISHAJI BVR DAR WATAWALIWA NA CHANGAMOTO
10 years ago
GPLUANDIKISHAJI BVR WAANZA LEO DAR
10 years ago
Habarileo06 Aug
Uandikishaji BVR Dar wavuka lengo
LICHA ya kuanza kwa kusuasua, kazi ya uandikishaji wapigakura katika mfumo wa kielektroniki wa BVR katika Jiji la Dar es Salaam, imepata mafanikio na kuvuka lengo la uandikishaji lililokuwa limewekwa.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IC7wNBcmy8A/VcI6K2W5aiI/AAAAAAABkMs/uWJd9XkSpFU/s72-c/IMG_3708.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKAMILISHA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU MKOA WA DAR ES SALAAM KWA MAFANIKIO MAKUBWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-IC7wNBcmy8A/VcI6K2W5aiI/AAAAAAABkMs/uWJd9XkSpFU/s640/IMG_3708.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-V5wLRk9hvls/VcI6EUuHLoI/AAAAAAABkMk/yhAYfkHlV08/s640/IMG_3709.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gkuUimr60cM/VcI6LlpTGmI/AAAAAAABkM0/gPcQ1LciMFQ/s640/IMG_3710.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PwZ-S63TeHc/VZU-n9Zcu6I/AAAAAAAHmb8/34tCN6OaXWg/s72-c/img_1741.jpg)
TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA KUANZA UANDIKISHAJI BVR DAR ES SALAAM NA PWANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-PwZ-S63TeHc/VZU-n9Zcu6I/AAAAAAAHmb8/34tCN6OaXWg/s400/img_1741.jpg)
Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam.
Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa vifaa vya uboreshaji kutoka mikoani ambavyo vilipelekwa ili...