Hesabu za uandikishaji BVR zinagoma
>Licha ya Serikali kusisitiza kuwa uandikishaji wa wapigakura nchi nzima kwa mfumo wa BVR utakamilika Aprili 28 na Kura ya Maoni kufanyika Aprili 30, mwaka huu kama ilivyopangwa, hesabu zilizopigwa na Mwananchi zinakataa kuwianisha siku zilizosalia na idadi ya mashine za BVR zilizopo na zinazotarajiwa kuwasili. Hali hiyo imejitokeza zikiwa zimebaki siku 36 kabla ya Kura ya Maoni kufanyika, huku kukiwapo wasiwasi miongoni mwa wadau kuhusu uwezekano wa kufanikisha matukio hayo bila...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Dec
BVR ‘zachemsha’ uandikishaji Dar
10 years ago
Habarileo12 Aug
UN wasifia uandikishaji wa BVR Zanzibar
OFISA Mwandamizi kutoka Umoja wa Mataifa (UN) anayeshughulikia Kitengo cha Uchaguzi Mkuu, Hamida Kibwana amesema uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo wa BVR, umefanyika vizuri huku vyama vyote vikionesha kuridhishwa nao.
10 years ago
Mwananchi26 Jun
NEC itathmini uandikishaji wa BVR
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Uandikishaji BVR Dar majanga
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Lema achafua hewa uandikishaji BVR
10 years ago
Habarileo20 Feb
160 Tacceo kuangalia uandikishaji BVR
MTANDAO wa Asasi za Kiraia wa Kuangalia Chaguzi Tanzania (Tacceo) unatarajia kutuma waangalizi 160 katika wilaya zote nchini ambao wataangalia uandikishaji wa wapiga kura kwa kutumia Mfumo mpya wa Teknolojia ya Alama (Biometric Voters Registration- BVR).
10 years ago
Mwananchi07 Mar
Uandikishaji wa BVR Njombe kumalizika Aprili
10 years ago
Habarileo18 Jul
Arusha wavuka lengo uandikishaji BVR
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza siku mbili za uandikishwaji katika Halmashauri ya Jiji la Arusha na kulazimika kazi hiyo kumalizika jana badala ya kuisha Julai 16 mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Inawezekana kuzikabili kero za uandikishaji BVR