Lema achafua hewa uandikishaji BVR
Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema jana alichafua hali ya hewa katika Kituo cha Uandikishaji Wapigakura, Kata ya Sinoni baada ya kutaka shughuli ya uandikishaji wa majina isitishwe akidai kuna njama za polisi kuvuruga mchakato huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Makongoro Nyerere achafua hewa
MBIO za kusaka urais kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimezidi kushika kasi baada ya mtoto wa tano wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Charles Makongoro Nyerere kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho.
Wakati Makongoro akichukua uamuzi huo kwa mara ya kwanza katika historia ya familia ya Mwalimu Nyerere, mkoani Mbeya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya naye ameingia kwenye mbio hizo.
MAKONGORO
Akitangaza nia yake katika eneo la Mwitongo kijijini...
10 years ago
Mwananchi13 May
Lissu achafua hewa bungeni
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Pinda achafua hali ya hewa
HATUA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutangaza nia ya kugombea urais 2015, imeibua maswali mazito ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo sasa makada wenzake waliofungia mwaka mmoja...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Ummy achafua hali ya hewa bungeni
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Waziri Mbene achafua hali ya hewa kanisani
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene, anadaiwa kufanya uchochezi kanisani akisema kuwa wajumbe wanaotaka kura ya siri kwenye Bunge Maalumu la Katiba wana ajenda ya kuleta ushoga na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YWMj-J29SNzG*kb3pMqFZMolGh06xc0sBYxnorHGSJYFb24qhYN68MvvIUuEMg8uUtVinScLiRpKTLhzChPA5XOXRqCRCWO5/MORO.jpg)
KUMBUKUMBU YA NGWEA: MGENI RASMI ACHAFUA HALI YA HEWA
5 years ago
Bongo514 Feb
Harmorapa achafua hali ya hewa, ‘Master J mbona simjui’
Ni kweli nilichokisikia au ninaota? Eti Harmorapa hamfahamu Master J?
Rapper huyo ameonekana kuwashangaza mashabiki Jumatano hii wakati alipokuwa katika kipindi cha Kikaangoni cha EATV kuwa hamfahamu mtayarishaji huyo mkongwe wa muziki nchini.
“Master J mbona simjui? Sidhani kama ni producer maana hakuna ngoma yake yoyote inayohit ambayo mimi naijua,” amesema Harmo.
Hitmaker huyo wa ‘Kiboko ya Mabishoo’ ameongeza kwa kusema kwamba ataachia wimbo wake mpya mwezi ujao ambao umetayarishwa na...
10 years ago
Dewji Blog11 Apr
Exclusive gossip: Nuh Mziwanda wa Shilole, ‘achafua’ hali ya hewa kwenye mtandao wa Instagram
Nuh Mziwanda akiwa na mchumba wake, Shilole
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Huenda hii ikawa ni tabia endelevu kwa baadhi ya mastaa wa Bongo hasa wasanii wa filamu, muziki na watu maalufu kwa kung’ang’ania kuutukuza ‘Umagharibi’, hasa kwa kupenda kutumia lugha ya Kiingereza ambacho mara zote kimekuwa kikiwatoa jacho..
Hivi sasa Nuh Mziwanda ambaye mwenye mahusiano ya uchumba na mwimbaji Shilole ameibua mijadara huku wengi...